Kuhusu kusukuma ndinga kali sioni shida ni mafanikio yake na hata mimi supendi umasikini. Shida yangu ni kuwaponda wafanyabiashara wengine kuwa wanauza fake na bei ghali, ndio nnapopingana nae wakati huo huo operation zao ziko tofauti, bei haziwezi kufanana
Hamna akili yoyote ya ziada aliyo nayo niffer kwenye biashara ya uagizaji zaidi ya makelele tuu ambayo yatamletea shida, watu wanalipa Kodi, OCs na tozo za kutosha kuendesha biashara hawezi kufanana na huyo niffer anaechukua vi order kadhaa wanaingiza kimagumashi kisha wanauza bila efd, ajitafakari
Seriously unadhani ni Mwinyi na vyeti vyake? Hii nchi ilikuwa inataka reform, kuna watu nyuma yake waliofanya hizo reforms, watu wenye akili na uwezo ambao hawana uraisi na wala hawahitaji hicho cheo cha uraisi. Au tumpongeze mwenyekiti kwa kila jambo?
Ha ha umenikumbusha siku nimerudi home nina condom used hapo nimetoka kuchapa nikasema nabeba mzigo wangu siuachi kwa manzi, kwa kuwa nilikuwa maji nikajikuta nimeingia nayo ndani ya geti, nikaona ngoja niirushie kwa upande wa jirani ikanasa kwenye fence, na hapo mdau anachungulia dirishani kaniona
Si ndicho wanachotaka, yami mtu kwa kuwa amependa kiwanja chako anavamia, ana kuharass, anajenga kisha anakuita mezani... Ingekuwa wewe ndio mmiliki ungekubali?
Kuna watu wapo jela kwa kuokota okota vitu, unakutwa na vyeti ambavyo muhusika kauliwa kwa armed robbery, utasota jela... Mimi nashauri visogeze sehemu inayoonekana bila kuvishika, na acha kushika vitu visivyokuhusu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.