Ndio utakapoona kuwa maisha yetu ni kudra za mwenyezi Mungu tu. Hata hao ambao wana uwezo kiasi cha kumiliki au kukodi chopa, hawawezi kuhakikishiwa 'immediate rescue' kama tatizo litatokea. Uhai inabidi ulindwe kwa gharama yoyote ile, watu wa uokoaji inabidi wawe na vifaa vya kwenda 'terrains'...
Huu ni upuuzi, badala ya kutushawishi tumchague, anazungumzia kuwabana watendaji, hizo pot holes kwenye barabara zingekuwapo kama angekuwa anajua kuwabana watendaji? Pathetic!!
Dr.Slaa kama ataanza huu upuuzi nitampuuza sana. Hata kama alikuwa na sababu binafsi za kumpinga Lowasa, lakini yapasa atambue watu ndio waliobadilika. Kujaribu kufanya mambo kinyume kutaonekana wazi lengo lake halikuwa kuwakomboa watu. Kujaribu kuutetea mfumo uliokandamiza watu kwa miaka yote...
Kama wewe mwenyewe umechoka hata 'title' ya 'thread' haieleweki, utatushawishi vipi kuiamini habari yako? Haya mambo kama mnaelekezwa mchambue kwanza mnayoambiwa kuleta, sio mnakuwa kama roboti!
Mkuu Hongereni sana!
Hebu nipe tathmini ya maeneo ya Rudewa Gongoni na Mbuyuni. Nilipita hapo vijana wakanihakikishia CCM hawana chao. Vipi matokeo yapoje?
Mlipuko katika 'Shopping Mall' waua 21 na wengine 17 kujeruhiwa, siku nane tu baada ya mlipuko mwingine kutokea katika sehemu ya kuonyeshea 'World Cup' na kuua kiasi cha watu 14. Hayo mambo gani Afrika?
Source: BBC News - Nigeria: Abuja blast in Wuse district kills 21
There is nothing 'so economic' that I hear from Lipumba apart from ---- from time to time. Anaweza kuwa amefanya kazi sehemu mbalimbali, lakini impact yake hata kwa sera za uchumi za CUF ni zipi? Mimi sio mchumi, na kwa hiyo hatuingiliani kwenye kazi mpaka nimwonee wivu. Sijaona cha maana katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.