Etj Consultancy: tunakusaidia kwa hatua zote hadi unamiliki kampuni yako ndani ya siku tatu baada ya wewe kulipia ada ya usajili tukishakupa control number
Etj Consultancy: na mahitaj yake ni haya
1.Jina la kampuni
2.nida za wakurugenzi
3.tin za wakurugenz
4.mtaji wa kampuni yako
5.anuani ya...
tunashukuru kwa maoni yako na sisi kama watanzania wenye lengo la kufikia umma tunalipokea kwa mikono miwili tunaomba wajulishwe wenye sifa hizo maana bado tunaproject nyingi lakini wateja wetu wanahitaji tuwe na watendaji wenye sifa hizo ila wengine wanaruhusiwa kuomba
karibu ndugu sisi ni wataalam wa kusaidia katika sajiri mbalimbali TIC,BRELA,TRA,OSHA,KUPATA LESENI ONLINE MAWASILIANO YETU +255764530882 au +255626402722 email yetu ni etj.prof@gmail.com tunaweza kuja kukufanyia kazi ofisini kwako kwa weredi na ada zetu ni nafuu sana
Habarini kampuni ya TEN ASSOCIATES inawatangazia umma kuwa tuna nafasi mbili wazi kazi ya usafi ofisini muombaji awe na cheti kutoka VETA Fani ya HOUSE KEEPING tuma maombi yako kupitia anuani ifuatayo
Ukiambatanisha vivuli vya vyeti vyako pamoja na cv yako kwenda anuani hii hapo chini
MANAGER...
KOZI HIZI HAWATOI MUST PEKEE KUNA ATTI -MBEYA KULE RUNGWE,MUST,ICoT-MBEYA,NA UJENZI-MORO na kwasasa kuna kozi zinatarajia kuanza mwezi nov 2023 ukitaka nikupe fomu njoo whtsp +255626402722 bure
kama unacho hicho cheti ndicho kinachotambulika crb kama mtaalam wa kampuni na kupewa usajili bila mtu mwenye cheti kama hicho kampuni haiwezi kupata usajili hivyo basi wewe unacheti yeye anamtaji hapo mtafanya kazi kwa pamoja na kila mmoja anakuwa huru kutumia kampuni kuombea kazi
ajira zake zipo ni kwa wale wenye kampuni za specialist contractors tu au cleaning services wanaodeal na gardening tu ila unaweza kujiajiri au kusajiri kampuni yako au sole proprietor
Habarini wadau,
Kuna mdau anahitaji mtu mwenye cheti cha labour base kwaajili ya kufungua nae kampuni ya labourbase contractor kama upo tayari njoo ni kulink nae wakiwaa tatatu itakuwa vizuri zaidi maana wadau ni wengi kulingana na soko la specialist contractors kwenye indutry ya ujenzi wa...
Hapana limited company ni kuanzia watu wawili na kuendelea vinginevyo itakupasa kusajili business name hadi pale utapompata mtu wa kuweza kushirikiana nae
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.