tunaweza kusema democrasia yetu haijakomaa au imekomaa kuzidi za watu wengine,kwanini nchi zetu za Afrika chama tawala kina kiandama chama pinzani kwa kikirekebisha na badala ya kutoa muongoza bora kwa jamii husika. kwa mfano nchi jirani ya Uganda chama tawala kina nyanyasa chama pinzani kwa...
mapenzi ni kuvumiliana hivyo kama kashindwa kuwa mvumilivu just know hayupu kwa nia ya kimapenza pamoja na wewe muache haraka iwezekanavyo wapo mabinti wengi wenye mapenzi ya kweli make your choice .
mimi sikushauri kwenda kwa machangu kwani ulimwengu wa sasa ni mbaya sana chunga sasa usije ukachukuliwa na magunjwa pili kuwa na mpenzi mmoja mwaminifu mwana utakuja juta kumbuka majuto ni mjukuu
kumsaliti sio uamuzi wa busara kwani inakupasa kuwa mwaminifu katika mahusiano yenu,kunambi kama kweli unampenda na untaka awe mwenza wako wa maishani inakupasa kuwa karibu nae sana na kwake yeye anafikiri kuwa hauko mkweli katika mahusiano yenu ndio maana anataka kuacha kukupa tunda.niwazi kuwa...
aiseee sijui nisemeje kwani inaonekana walio wengi wanabashiri tu hawana ukweli wa mambo mabinti walio wazuri ni watoto wa ngara hawa mabinte wamechanganya asili ya kinyarwanda hibu niambieni sio tu tanzania bali east Africa ni nchi gani wanawazidi Rwanda kwa mabinti sio tena wazuri ila wakali...
kwa mahitaji ya kufuga kuku wa kizungu anafaa hasa kufugwa mijini na sio kijijini kwani wanahitaji matunzo ya hali ya juu na pia wataaramu hawapatikani vijijini.Ila wanaweza kumudu sehemu zote kama mahitaji yao yanapatikana bira shida yoyote.Pia kuku wa kienyeji wanafaa kufugwa vijijini...
katika monekano wangu ni kwamba kuku wa kizungu na kuku wa kienyeji wote ni kuku ila utofautiwao unajitokeza pale kuku wa kienyeji anajitafutia chakula mwenyewe au anachakula mwenyewe na kuku wa kizungu anachakula kwa kuletewa karibu chakula.sio hivyo tu ila wanautofauti wa kwamba kuku wa...
Mwanamke anaitaji sio tu usalama bali anaitaji hata mwanaume ambaye atamjali hata katika mambo ya kifedha.mwanawake hasa wa sasa wanapenda pesa na wala si kitu chochote .mambo haya ndio yameletelea wanawake kuitwa magorikipa.wapunguze kupenda pesa.
Masatu kweli usijari tu uzalondo na kusahau tabu na adha zilizomo nchini.Nikweli mafanikio yapo na siyakutisha pia kumbuka tembo akisifiwa .....Na pia kumbuka wenzetu wanateseka huko mara wanakunywa maji yenye chemicals isitoshe wanauana,shinyanga ukame ,kagera uaribifu wa mazingira na swala la...
Asie jua maana haambiwi maana.na yeye karubuniwa tu ikosiku ataleta watuwake kutafiti atapata majibu.hawezi kusifia Kenya kwasababu wazungu watamkalia kichwani.
Nimekubari swala la kuchimba dawa ni baya sana kwasababu sio tu uchafuzi wa mazingira nipamoja na kuongeza kasi ya utekajinyara kwenye mapori.
Abiria wanapo shuka kwenda kujisaidia wanasimama na majambazi hupata nafasi ya kuwateka na kuwanyang'anya kilakitu walichonacho.
Hivyo ujengaji vyoo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.