Kwahiyo mkuu, unapopigana na adui/mpinzani wako unampa masharti ya kwamba asitumie mguu na mkono wake wa kulia kushambulia/kupiga kwasababu vina nguvu sana, atumie tu mkono na mguu wa kushoto kwa sababu ni dhaifu. Halafu unataka ukimpiga useme umeshinda
Ongezea pia kwamba, hata taifa lolote likionekana linatoa aina yoyote ya msaada wa kivita kwa Mrusi na lenyewe linawekewa vikwazo au kutishwa, mf. South Africa juzi hapa
Wanataka kumuaminisha Zelensky kua kuna mpasuko mkubwa Russia tena kwenye inner circle ili aone sasa ni wakati sahihi kurudi nyumbani kuanzisha counter-offensive haraka kabla hawajaelewana na kujipanga upya. Akifanya kosa hilo hatokaa asahau. Chess inayochezwa hapa si ya kiwango cha dunia hii...
Nimesoma chanzo kimoja kinasema mzozo huu kati ya viongozi wanaoongoza serikali ya kijeshi ya mpito Sudan umechagizwa na USA na Russia. Wiki kadhaa zilizopita waziri wa mambo ya nje wa Russia Sergey Lavrov alienda Sudan kwa mazungumzo hasa kuruhusiwa kuweka military naval base yao pale Red Sea...
Hiki ulicho post kimeakisi JF ya kipindi hicho, JF iliyokuja kujizolea umaarufu na wingi wa followers hii leo kwakua mtu alikua akileta habari enzi zile anadondosha na ushahidi ambao unaacha silimia ndogo sana ya mashaka
Kama waarabu wakiinunua timu na wakampa hela ya kutosha kumfanya awe na wachezaji angalau wawili katika kila nafasi wa kiwango cha juu anaweza kufika mahala fulani... Ni kocha mzuri ila ila alilewa sifa baada ya performance nzuri katika mechi kadhaa na hasa baada ya kuchukua kikombe. Kuanzia...
Unamweka benchi Wan Bissaka unamchezesha Dallot. Scholes hajamumunya maneno kasema wazi huyu Dallot na Weghorst hawana quality ya kucheza utd. ETH Kajifunza kitu jana kuhusu mechi kubwa ugenini hasa kwenye EPL! Asipobadilika atafata mkondo ule ule wa waliomtangulia
Wakongwe kina Scholes wanasema enzi zao chini ya SAF walikua wakienda ugenini kwenye mechi kubwa wanacheza 4-5-1, lazima uheshimu timu kubwa huwezi force kwenda nao toe to toe. Wanaosema fatigue sikubaliani nao, shida ni choice of players na formation
Kiuhalisia uko sahihi kabisa lakini tutazame hawa ndugu ambao wamehojiwa na vyombo vya habari na kutoa ushuhuda wa maneno aliyotamka marehemu wakati wa uhai wake
Wana jukwaa Salaam!
Kwanza natanguliza pole kwa wana ukoo wa Mrema kwa ajali iliyotokea na kuhusisha vifo vya watu zaidi ya 17.
Nimejaribu kujiuliza sana, hasa hii taarifa ya ndugu ambao wanatoa shuhuda kua marehemu alitoa sharti asiende kuzikwa kwao na watakaokaidi ataondoka nao. Mshana jr...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.