Kweli kabisa mtoa mada, hili ni janga kubwa sana kitaifa hususani kwenye hivi vituo vya redio na tv zinazoitwa za burudani, ni madudu tu kuanzia kwa watangazaji hadi hawa wanaoitwa ma presenter
Kuna kampuni Morogoro inajihusisha na kilimo kwa mkataba maalum wanajiita SOILA PLC, ingia mtandaoni uwasiliane nao watakupa maelekezo.
Niliwaona hata kwenye maonyesho ya sabasaba kitaifa Dar walikuwepo.
Huo mwanga ambao bado unasafiri, unatoka wapi na unaenda wapi? sijajua kama kuna chanzo cha mwanga kinaweza kuangaza nuru the whole universe hadi useme kwamba bado kuna sehemu hazijafikiwa na mwanga
Waache uhuni hao wafanye bank fund transfer kutoka kwao pesa iingie kwenye akaunti yako wewe watumie swift code ya bank yako na namba yako ya akaunti waipige hiyo cheque yako hukohuko kama hawalipi pesa mkononi.
Kweli mkuu mimi mwenyewe nimelisikia mwanzoni nikafikiri gari kubwa ila nikatambua nipo mbali na barabara kubwa, hali ilipodumu kwa dakika kama moja hivi bila kukata ndipo nikatambua ni tetemeko, inaoekana limeanzia bukoba maana huku mwanza limesikika mida ya saa nane kasoro hivi za usiku
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.