Hata hivyo CCM haijapigania uhuru wa nchi hii, zingekuwa TANU NA ASP ni sahihi, ndio maana CCM hawana uchungu na nchi hii kabisa, CCM wamejaa wababaishaji tu.
Pole sana, naona Mola anakuita, nenda tu akulaze mahali pachakavu kama ulivyochakaa. Ukome, CHADEMA mwendo mdundo, ni zaidi ya moto vichaa kama wewe hawawezi kuuota hata kama ni kwa mbali.
CHADEMA ipo juu, NAPE hajitambui hana hoja, muulize gamba la LOWASSA limeishia wapi? walitumia chopa kuzunguka nchi nzima kwa kodi zetu, na hakuna alilofanya? wajiuzuru CCM wote MATAPELI, MALAGHAI, MAFISADI MAKUBWA HAYA!. Mtachanganyikiwa hadi mkome, CDM haikamatiki msio na hoja kaeni kimya.
Tupinge ama tusipinge CHADEMA wanakubarika acheni unafiki, KIKWETE mwenyewe anafahamu hilo, CHADEMA hiki ni kipindi chao, CCM magamba tu hayavuriki hawana jipya, Kwenye uwanja huohuo wa RUANDA NZOVWE waliacha kufanyia mikutano kwa kukosa watu kabisa hata wa kukodi kwa marori, na wasafwa sasa...
CCM hawakuwa tayari kwa katiba mpya ndio maana hawana hoja za msingi, wanataka kutupeleka-peleka tu, na pia hawa MACCM wamechoka ninyi nyote mashahidi; [ref. PINDA]
Mapendekezo haya yanaonesha jinsi CCM walivyo "emptyheaded" hivi suala la kuoana ni hoja, mbona kuna wazungu alioolewa na watanzania au wazambia mimi nina wasiwasi na vyeti vyao naomba NECTA ifanye uchunguzi, VIONGOZI BOGAZI HAWATAKIWI KUONGOZA NCHI, kweli nimeamini kuwa 50 yearz hatujawahi kuwa...
Chama ambacho kimekufanya uwe na uwezo wa kuchambua siasa namna hiyo si kingine bali ni CHADEMA, utoke porini njoo barabarani, ccm pamoja na Ndugai hawana hoja ndo maana wanaogopa hoja za CHADEMA. [Hint: Angalia takwimu za CHADEMA].
Sheria za nchi inabidi ziangaliwe upya, kwa mfano kijana akimpa mimba mwanafunzi anafungwa miaka 30 lakini bado mimba ndo zinazidi zaidi, ingekuwa vema wafungwe wasichana wataacha ufuska.
Hakuna nchi duniani yenye aina ya muungano kama wetu huu, yaani wanatuona like mazombi, je kuna mashiko gani ya ya kuendelea na muungano unaotufilisi watanzania, kwanini tuogope kuuvunja limuungano hili lisilofaa, linalotukondesha kila siku, Miaka 50 bado ni masikini, viongozi wapimwe akili...
Mh. MATASO, cdm hawatumii nguvu hoja zao zina mashiko, ila ccm kwa sababu ya wingi wao bungeni wanatumia opportunity hiyo kuwakandamiza wapinzani, jiulize je, ni mikataba mingapi feki ccm imeipitisha bungeni na wapinzani wakipinga, CCM NI SIKIO LA KUFA, lazima wapishe 2015 wamezeheka mno hawana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.