Nauza kuku wa nyama waliochinjwa na kuhifadhiwa vizuri kabisa kwenye deep freezer. Kuku hao wana uzito wa kati ya 1.2-1.3 kg. Bei kwa kila kuku ni Tshs 4,800.00. Napatikana Jet Rumo simu na.0715-266451. Karibuni sana.
Nyumba hiyo iwe ya kisasa yenye uzio, maji na umeme. Iwe na vyumba visivyopunguwa vitatu vya kulala na angalau kimoja wapo kiwe ni "Self contained"
Iwe na kiwanja kikubwa na sehemu ya kuweza kuegesha gari mbili. Nyumba hiyo iwe maeneo ya Jet Rumo kwenye viwanja vilivyopimwa. Tafadhali kama una...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.