Anachofikiria sijui nini. He is missing a point. Kuna mambo yakishatokea, ndio byebye. Yeye anang'ang'ana kuyabadili. Inachekesha sana lakini. He lives in the world of fantasy which he slowly and over time, has created for himself. Inatia huruma na kusikitisha sana
Na mazuri yake yako wapi? Mbona jina lake linagoma kuzikwa? Mambo yake yanajieleza yenyewe? Tuwe balanced kidogo.
JPM jina lake litaendelea kukaa kaa kwa sababu kadhaa. Msipozijua hizo sababu, mtapata tabu sana
Inawezekana ikawa hivyo kwamba ni rubbish. Na inawezekana isiwe hivyo.
Ila ukiisoma vizuri, hii ni vita yao, wahutu na watusi ambao wamejivika mavazi tofauti. Wanafuyatilia kweli kila linaloendelea Rwanda na DRC Congo, na mustakabali wake.
Tusifanye masihara, kama hatua za haraka hazitafikiwa...
General Mabeyo amesema in a very "general way". Kutoa machozi kuna sababu kadhaa. Ninachoona, kuna yale ambayo hawezi kuyatamka maana yanabeba hatari kubwa.
Lakini ipo siku yote yataandikwa. Ninasubiri kwa hamu kuona maandishi ya personal secretary wa Nyerere aliyesema yale aliyoyaandika...
Expressing his desire about islamic principles is not a problem, if he wanted it to be implemented for people accepting Islam as their religion.
Kwenye hii diversity kama angetumia nguvu asingeweza. By the way, wakristu na waislamu wameshapambana sana miaka ya nyuma na hawakupata mshindi. Leo...
Alipoanza alikuwa na fikra hizo ndogo. Ulimwengu ukamfundisha lazima ashirikiane na hata sisi makafiri ili mambo yake yaende.
Kwani waliomuua hawakuwa na dini yake? Udini unaleta shida na taharuki bila sababu. Kama yeye alivyomfanya King Farouk sijui nani
Yote hayo, na yale ambayo waraka haukuyasema, ndio yanamfanya JPM awe kamili. Ukiangalia mabaya ya mtu pekee, hapo tunakosea maana hakuna aliyemwema.
Kuna mengine aliyafanya kwa nia ya kutusaidia wengi, sio wajukuu zake wala watu wa Chato ambayo alitaka kuifanya itambulike kimataifa, wakati ina...
Mcheza kwao hutuzwa. RIEP JP Magufuli. Asante kwa yote. Magumu na yale mepesi uliyoyafanya kwa nia njema. Mungu Mwenyezi, aliye hakimu wa haki, ndio atatuhukumu sote, kwenye mizani iliyo sahihi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.