Habari zenu wana jamvi,
Kwa wale mafundi TV nauza TV (screpa) imeharibika kioo ila vifaa vingine vipo ok.
TV yenyewe ni LG,PLATT ,PLASM.INCHI 42
Kwa mafundi TV anayehitaji ani pm
ASANTENI
Habari zenu wana jamvi kwa wale mafundi TV, Nauza TV (Screpa) imeharibika kioo ila vifaa vingine vipo ok. Kwa mafundi TV anayehitaji ani PM.
TV yenyewe ni LG, PLATT, PLASM, INCHI 42..
Ahsanteni!
Sasa hayo matusi yoote ya nini?au mi nimetukana mtu hapo ?embu jifunze kujenga hoja kukingana na topic.usilazimishe watu waelewe unachokiongea kwa matusi ....
Huwezi amini ameniibia elfu 30 huyu mbwa jina lake kamili ni raymond chilambo.leo asubuhi walinipigia simu j3 niende kwenye interview sasa najiuliza no yangu ameipata wapi?
Habari, naitwa Mr. Raymond from TRANSNET LTD Dar, tupo kikaoni tunapitia CV tuchague candidates wa kuinterview for PUBLIC RELATIONS OFFICER POST, CV yako ni nzuri nataka kukusaidia upate hii kazi kwa terms zifuatazo, salary ni tshs 1,200,000/= kwa mwezi ukilipwa salary ya kwanza utanipa laki 3...
Ipo sinza afrikasana ipo karibu kabisa na barabarani ina vyumba viwili vya kulala sitting foom choo na joko,ipo ndani ya geti na ina parking kosi ni shs 280000 kwa mwezi nataka napokea kodi ya miezi nane.kwa anayehitaji anipigie 0714438523
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.