Search results

  1. mama jason

    Nafasi za kazi NECTA

    vipi unamchongo na mimi nikupm?
  2. mama jason

    Special kwa mafundi TV

    Habari zenu wana jamvi, Kwa wale mafundi TV nauza TV (screpa) imeharibika kioo ila vifaa vingine vipo ok. TV yenyewe ni LG,PLATT ,PLASM.INCHI 42 Kwa mafundi TV anayehitaji ani pm ASANTENI
  3. mama jason

    Kwa mafundi TV: Nauza TV Mbovu

    Habari zenu wana jamvi kwa wale mafundi TV, Nauza TV (Screpa) imeharibika kioo ila vifaa vingine vipo ok. Kwa mafundi TV anayehitaji ani PM. TV yenyewe ni LG, PLATT, PLASM, INCHI 42.. Ahsanteni!
  4. mama jason

    Wafasiri wa Kiingereza kwenda Kiswahili na Kiarabu kwenda Kiswahili na Kiingereza wanahitajika

    habari kaka 0767438523 ,nitumie email mikutumie cv
  5. mama jason

    Call for interview Erolink

    mshahara ni laki tatu hadi mbili na nusu ,training ya bil malipo wala chakula ya mwezi na nusu ,karibu.
  6. mama jason

    Nauza Mashine ya Selcom

    Laki tatu
  7. mama jason

    Nauza Mashine ya Selcom

    Habari zenu wanajamvi nauza mashine ya selcom ipo katika hali nzuri kwa anayeihitaji anipm thanx
  8. mama jason

    Tanzania postal bank - relationship officer

    Kuna mhusika wa hapo kaniambia wameita baadhi ya post ila hizo za customer service bado
  9. mama jason

    Nauza tv flat screen

    Sasa hayo matusi yoote ya nini?au mi nimetukana mtu hapo ?embu jifunze kujenga hoja kukingana na topic.usilazimishe watu waelewe unachokiongea kwa matusi ....
  10. mama jason

    Hii dhiki sasa imepitiliza

    Stupid kabisaa
  11. mama jason

    Hii dhiki sasa imepitiliza

    Huwezi amini ameniibia elfu 30 huyu mbwa jina lake kamili ni raymond chilambo.leo asubuhi walinipigia simu j3 niende kwenye interview sasa najiuliza no yangu ameipata wapi?
  12. mama jason

    Hii dhiki sasa imepitiliza

    Habari, naitwa Mr. Raymond from TRANSNET LTD Dar, tupo kikaoni tunapitia CV tuchague candidates wa kuinterview for PUBLIC RELATIONS OFFICER POST, CV yako ni nzuri nataka kukusaidia upate hii kazi kwa terms zifuatazo, salary ni tshs 1,200,000/= kwa mwezi ukilipwa salary ya kwanza utanipa laki 3...
  13. mama jason

    Nyumba inapangishwa

    Hahaaa umevurugwa c bure
  14. mama jason

    Nyumba inapangishwa

    Mi naamini kabisa kama kweli unashida ya nyumba unaweza kuja kuiona ili ujiridhishe .sidhani kama utailipia kabla hujaja kuiona.
  15. mama jason

    Nyumba inapangishwa

    Choo ni kimoja cha public ,hamna sink wa gypsum na tiles zipo sebukeni tu.hivyo vitu unavyotaka kwa maeneo ya afrikasana kodi yake siyo hiyo.
  16. mama jason

    Nyumba inapangishwa

    Hahaaa jamani tuache mzaha hizo typing errors ni kawaida tu kikubwa ni ujumbe .naona mshaaza mambo yenu
  17. mama jason

    Nyumba inapangishwa

    Ipo sinza afrikasana ipo karibu kabisa na barabarani ina vyumba viwili vya kulala sitting foom choo na joko,ipo ndani ya geti na ina parking kosi ni shs 280000 kwa mwezi nataka napokea kodi ya miezi nane.kwa anayehitaji anipigie 0714438523
Back
Top Bottom