Tatzo hawa uvccm wanatumiaga matumbo kufikiri.
Hivi kwa mtu muelewa wa mambo anaweza mbeza Mbowe bungeni? Ukambeza Sugu kwa kumlinganisha na Tulia? Huyu ukimuuliza, hivi Tulia amewahi kujadili lipi lenye tija kwa Taifa, atajibu nini?
Uwezo wa huyu mtu ni mdogo kujadili mambo mazito ya...
Mkuu sio lazima ujadili siasa. Uwezo wako ni mdogo. Siasa haijadiliwi kwa mihemuko ya u-uvccm!! Nakushauri nenda MMU kaanzishe mada huko. Hapa hapakufai.
Mbona naona hizi kauli zimejaa vitisho tu hakuna la ziada?
Mbona mwenzie kasema akishindwa kwa haki atakuwa wa kwanza kujitangaza kwamba kashindwa, yeye mbona hazungumzi lolote kama anaipenda kweli amani?
Azungumzie neno HAKI then atakuwa ameeleza kila kitu!!
Kwani msemaji wa serikali (Dr Abass) sio afisa wa Ikulu?
Mayalla unaposema "kwanini mwandishi aliitafuta Ikulu wakati alitakiwa kumtafuta msemaji wa serikali" nashindwa kupata unachokitetea hapa!!
Ikiwa (jibu lako ni ndio) msemaji ni mtu wa Ikulu, una uhakika gani kama aliyetafutwa sio Dr Abass??
Ha ha ha haa....aisee mataga mmejipanga kusapotiana upumbavu hatari!!
Kwamba Mdee kaandika kitabu bila kujua anachokifanya? Au mnadhani Halima ni mpuuzi kama ninyi? Hata namna mnavyosapotiana mnaonekana kabisa mmetumwa kuandika upumbavu humu!!
Acheni kujidhalilisha ndugu zangu mnatia kinyaa
Nasikia jamaa anasubiriwa kwa hamu kubwa!!
Bukubo kuna zao la Majani ya Chai, Kahawa na ndizi vyote vimeharibiwa soko na wakulima kukata tamaa sababu ya utawala mbovu wa ccm!!
Bukoba pamoja na mkoa wa "nshomile" lakini vijiji vingi kama sio vyote vina tatzo la maji mkoa mzima!! Ukianzia...
Mkuu sijui kama umemuelewa vizuri mleta mada.
Kasema hayo makundi aliyoyataja, jumlisha na wategemezi wao. Mfano mimi na mke wangu tulimlipia ada mtoto wa kaka yetu ili akasome pale udom, baadae akafurushwa kama mbwa koko na kuachwa bila vision yoyote na sasa yuko hapa kijijini analimia watu...
Ulicholalamikia ni sahihi, na hakiwezi kuungwa mkono na mwenye timamu. Ila kwa namna unavyozidi kusapoti ujinga wa mataga unatufanya tuanze kuhoji juu ya uwezo wako wa kufikiri.
Nadhani ujikite kwenye hoja yako zaidi kuliko kuleta ushabiki usio na tija kwenye hoja ya msingi.
Nadhani...
Duuh mkuu, huwa najiuliza hawa wanaomshabikia huyu jamaa haya hawayajui?? Wanaishi wapi hawa hata hawaguswi na mambo haya??
Wanapata wapi ujasiri wa kumuamini mtu huyu ambaye ametutenda kiasi hiki??
Ha ha ha haa...eti Hamgembe bukoba mjini!! Hiyo ni ya kwenu. Bukoba mjini kuna HAMUGEMBE.
Oli kifela kyankaasi iwee??
Unashabikia ujinga?? Umeelewa kilichoongelewa au unashabikia kisa kofia tu? Hivi unadhani tuliobomolewa nyumba zetu tukalala kwenye turubai wiki tunakuonaje wewe?? Na msaada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.