Jaji Rukgakingira (RIP) kwenye k esi iliyofunguliwa na mtikilia alitoahukumu kuwa wagobea binafsi ni Ruksa. na kuwagomea ni kuvunja katiba What happned?
Nadhani hata vyama vya upinzani havikipenda maamuzi ya RUgakingira.
Kabla ya kutafuta fundi soma au pakua manual yake na ujaribu kufanya Soft na hard reset .
Unaweza cheki hapa
NB
kama ina SD memory card itoe weka pembeni kabla ya reset.Maana reset ni restoring to how it was from Manufacturer.So inaweza futa kila kitu kwenye memory na apps nyingine...
unamuona sababu yeye kwenye mshine yake webcam iko poa.Sio webcam yako inayofanya umuone mwingine .Webcam yako inawezesha wewe kuonekana kwa wengine.
Kwa mujibu wa tech specs dell 620 haina integrated web cam .Nununa extenal webcam
TAKUKURU NA DPP wanashindwa sababu Rais anaweza kuamka asubuhi akawatimua au kuwastaafisha Ila kwa CAG ni tofauti.Akishateuliwa C AG hata Rais hana mamlaka ya kumchomoa kirahisi. Tafuta maelezo ya termination process ya CAG ujue siri
Hiyo tu inaweza kuwa moja ya sababu ya utedajii tofauti...
Bora hata ya Pinda mara 100. Huyu Diplomatic hawezikufanya chochotete Unless useme U PM wa TAnzania kimekuwa cheo cha Ceremeonial basi anafaa.
Mama Tibaijuka mwenyewe hata hajulikani ana input gani pale ardhi tena huyuTibajukazamani alikuwa aikuwa historia kutaka mabadiiko sasa sembuse huyu...
Siku nyingine ukipata tatizoa la kifaa anzia kwenye tovuti ya watengenezaji.Huko utakuta manual . Unaweza hata kugoogle neno "Samsung i9010 manual "
kukurahishia kazi nenda hapa Samsungu GT-I9010.
PM pinda alishataka kujiuzulu siku nyingi. System ilimkatalia sababu wakaona atashusha hadhi ammbayo imeshuka tayari ya bosi wake JK.
Bila kuwa "Msanii" kama EL huwezi kuwa PM mzuri chini ya JK. Anchokosa PInda kwenye siasa za Tanzania na hasa chini ya Utawala wa wa kisanii na kishkaji wa...
Haya kwanyongeza someni hii paper
http://www.tzonline.org/pdf/ictsastoolsforpovertyreduction1.pdf
Ni ya mwaka 2005 .Lakini inaonyesha kwenye makaratasi tuna nia yakutumia ICT lakinikivitendo kinachoksekana mpaka sasa ni Link ya wataalam upande wa serikali na kushirikiana na makampuni...
Umenena mkuu.Sasa mimi nachukuliaia mfano wa elimu tu
chukulia mfano au option moja katiya hizi
inatengenezwa DVD ya physics au ya chemsitry au hata hesabu na kila mwanafuzi anapewa au kuuziwa kwa bei nafuu au kauzimwa kama kitabu. Mfano wahizo video ni kama hii PH of weak acid
Shule...
BAru baru
mbona maswali yako nimeeleza na nimeyayoea majibu toka mwanzo . Hao ICT speaciist sio tu Database,Networking auu software deveopment . Nitarudia tena kwa kunukuu niliyoleza labda utaniewa .
Kwanza usiffikirie sana from technical side(Dataase, Programming etc) Mimi naongelea...
Barubaru Kuna msemo unasema kama unadhani elimu ni gharamaa jaribu ujinga. Kama unadhani ni gharamai isyoyamuhimu basi hata JK asingekuwa anaimba TEKNOHAMA
Serikali ya JK na wanasia wengiwanajua umuhimu wa ICT. Thast good lakini hakuna tija kama hIzo gharama za miradi Mkonga wa...
YEs JK kwakweli ameonyesha nia ya dhati Kisiasa .
Lakini hiyo nia ya dhati bila kuwa na wataalam katika ngazi ya ushauri au management ile hatua muhimu ya technical How to achive specific objective itakuwa ngumu au itakuja kwa kubatisha bahatisha.
Kuna watu wanasema hao watalaamu...
Best paying public career ni Politics ( Waziri,mbunge etc).
mfano Mbunge wa jimbo(just jimbo ambalo ni sehemu ya mkoa) mshahara wake na marupurupu anawazidi watendaji kama RPC ,Afisa kilimo wa mkoa,Wa Mifugo, na Mganga mkuu wa mkoa??????!!!!!
Tatizo hawapo katika level inayowarushusu kutoa ushauri ukasikilizwa. Katika vikao vya maeedelo vya mkoa/wilaya wataenda afisa wa elimu wa afya ,Kilimo etc kulingana mamagement postion zao hakuna Afisa wa IT yet we expect Maajabu yaje tu. Wawaweke washindwe kazi tujue moja.
Ndo hapo sasa...
So U mean Mradi wa mkonga wa taifani wrong Priority .So umean kitamulisho cha taifa ni wrong priority na.Una maana hata kitambulisho cha mpiga kura nacho kilitakiwa kusibiri umeme? Realy ? .
Swali? Barabara zote na mitaa zinazoeleweka na zilizopangika hata za hapa dar zimo zote...
BArubaru naona unapindisha pindisha nakutoka nje mada Mimi sio mtaalam wa umeme Lakini kwa k uwa serikali inaekeza nguvu zake na hata pesa kwenye mambo ya TEKNOHAMA nimetoa maoni njia nzur iitayaowezesha na kufanikisha miradi kama hiyoy a Mkonga wa taifa iwe na faida kubwa zaidi.
Kama...
Mdondoaji Hivi wilaya na mikoa yote haina umeme .Na mambo ya umeme ni wajibu wa taaluma nyingine .Tusichanganye mambo.Ndio maana kunawahandisi wamikoa . Kama hawafanyakaziyao hilo ni ni suala lingine
iweje mwanafuzi wa tambaza au jangwani ashindwe kuona practical ya chemistry/Physics hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.