Search results

  1. N

    Kassim Majaliwa: Makontena ya Makinikia yanayosafirishwa nje ya nchi ni halali

    Nimedokezwa ukweli huu mchungu hadi nikatamani kuzimia: 1. Makontena yameanza kusafirishwa nje ya nchi tangu mwendazake yuko hai. 2. Hakuna kilichobadilika kutoka mfumo uliokuwa unatumiwa na Serikali ya JK kupitia TMAA kusafirisha makinikia hayo nje. Utaratibu huo ulikuwa ni: sampuli...
  2. N

    Mkurugenzi wa Barrick Gold adai Makinikia yaliyozuiwa Bandarini Dar yana thamani ya $280 Milioni

    Nimejikumbusha summary ya taarifa ya Kamati ya Prof Mruma iliyosema kuwa kwenye zile Kontena 277 kuna dhahabu ya USD 521.3mil, Copper ya Usd 10.6mil, Silver ya Usd 1.08mil, Iridium ya Usd 105mil, Iron ya 1.2mil, Ytterbium ya Usd 7.5mil, Beryllium ya 3.8mil, Tantalum ya Usd 1.3mil, Rhodium ya Usd...
  3. N

    Kama habari hii ya Acacia kukataa kutulipa hata hiyo dola milioni 300 ni ya kweli, sijui nini kitafuata

    Taarifa ya Prof. Mruma ilibainisha kuwa madini ya dhahabu yaliyopo ndani ya kontena 277 pale bandarini yana thamani ya shilingi bilioni 1,147 ukilinganisha na shilingi bilioni 97.5 zilizokuwa declared na Acacia. Hivyo tofauti ni shilingi bilioni 1,049.5. Hizi ni hela nyingi sana, badala ya...
  4. N

    IKULU: Rais Magufuli apokea ripoti ya uchunguzi wa mchanga wa madini. Amtaka Waziri Muhongo ajiuzulu

    Hii taarifa kila ninapoisoma nabaki na maswali mengi sana. Kwa mfano, taarifa ya Prof. Mruma iliyosomwa IKULU inabainisha kuwa yale makontena 277 yalikuwa na uzito wa Tani 20 kila moja. Wastani wa madini yaliyopatikana baada ya kufanya sample analysis kwenye maabara ya GST ni kama ifuatavyo...
  5. N

    CCM yawageukia Chenge, mawaziri yawataka watoe ushirikiano kwa vyombo vya dola

    Mawazo mfu. Mnacheza na maisha ya watu ninyi, Mungu anawaona. Uwaweke ndani kwa kosa lipi hasa? JPM ameonyesha njia, wengi waliohusika hawajatajwa. Huwezi kuangamiza mchwa bila kushughulika na malkia. Kazi nzuri hii ya JPM itaharibika kwa kubangaika na chenge, tukomae na barrick ndio kwenye manufaa.
  6. N

    CCM yawageukia Chenge, mawaziri yawataka watoe ushirikiano kwa vyombo vya dola

    Siasa imetosha sasa katika jambo hili la makinikia, tuchape kazi. Kwa maoni yangu, tungeishia hapo tulipofikia. Tuhangaike na Barrick tuwaache hao kina chenge. Tukisema tukomae nao itaendelea kuwaingiza na kuwachafua wazee wetu JK na Mkapa na CCM kwa ujumla. Tupotezee tu.
  7. N

    Wazo: Wajumbe wa kamati za makinikia wanastahili nishani ya kitaifa!

    Tuvute subira tuone impact ya kazi yao, inaweza kuwa positive au negative kwenye uchumi wa nchi na uwekezaji kwenye sekta ya madini kwa ujumla. Muda ni mwalimu mkubwa. Baadhi ya watu wanahofu tunaweza kuwa kama zimbabwe miaka michache ijayo. Ikitoke, tuwanyanganye nishati? Twende kwa subira
  8. N

    Chenge,Werema: Tume imedanganya kiasi kilichopo kwenye mchanga, wajivua lawama

    Nina uhakika Tume ya JPM ya Makinikia imemdanganya sana Rais na Watanzania. Nina ushahidi ufuatao: 1. Wamewaaminisha watanzania kuwa kwenye kila kontena moja tunapoteza 1 Trillion shilings badala ya 300m walizosema Acacia. Hapa wanacheza na akili zetu na za JPM kwa kutaja figure hiyo kubwa...
  9. N

    Tundu Lissu: Tutanyolewa bila maji suala la mchanga wa madini, tusikurupuke

    Lakini huwezi kusimamia huko kwa kuwa lab analysis umefanya mwenyewe tena kwenye lab ambayo haina ISO accreditation. Matokeo yako yatapingwa tu mahakamani, maana ulichukua sampuli mwenyewe kwa utaratibu wako ukafanya analysis mwenyewe kwenye MAABARA ya GST ambayo haina hata ISO, utawashindaje...
  10. N

    MASAHIHISHO: Report ya mchanga ina maswali mengi ya kujibu

    MAELEZO YAKO NI BAYANA KABISA. UKIFUATILIA TAARIFA YA KAMATI, UTABAINI KUWA MRABAHA WA WASTANI TULIOSTAHILI KULIPWA NI TZS BILIONI 33.788 NA MRABAHA AMBAO ULIKUWA DECLARED (PROVISIONAL) NA ACACIA NI TZS BILIONI 4.484. HIVYO TOFAUTI KWA KUINGIZA MADINI YOTE YALIYOTAJWA NA KAMATI NI TZS BILIONI...
  11. N

    Tetesi: Mkapa Anahusika na Sakata la Mchanga

    UKO SAHIHI NI NGEREJA
  12. N

    Tetesi: Mkapa Anahusika na Sakata la Mchanga

    KAMA LENGO NI KUFUKUA MAKABURI, WAFUATAO WAFANYIWE UCHUNGUZI NA KUCHUKULIWA HATUA KUHUSU SAGA HILI LA KUIBIWA MADINI: MARAIS - BENJAMIN MKAPA NA JAKAYA MRISHO KIKWETE MAWAZIRI - JAKAYA MRISHO KIKWETE, IBRAHIM MSABAHA, MAOKOLA MAJOGO, DANIEL YONA, KARAMAGI, SIMBACHAWENE NA MUHONGO KATIBU MKUU...
  13. N

    Kiama chaja: Uhakiki wa vigogo wenye mali nyingi za kufuru

    Dada mmoja aliulizwa kazini amepata wapi hela ya kununulia gari akamjibu boss wake, ana wateja wanaopenda tigo wanamlipa vizuri, kesi ikaisha. Tegemea majibu hayo
  14. N

    Jafo na Simbachawene mnangoja nini kujiuzulu?

    Mbona unamsahau Prof. Muhongo na Dr. Kalemani? Nao wamekula za uso kwani waliwaondoa juzi wachimbaji wadogo huko Mwakitolyo na leo JPM ameagiza warudi na leseni ya mwekezaji ifutwe. Only in Tanzania kiongozi anakula za uso lakini Hajiuzulu. Kweli njaa
  15. N

    Rais Magufuli, Mtumbue Muhongo. Anakudanganya!

    Naona una ugonjwa hatari sana. Ni Mungu pekee ambaye hana mbadala. Kumbuka hiyo Wizara aliikuta na itaendelea kuwepo. Usitoe lugha hizo kwa vile inanufaika kupitia kwake. Watch out
  16. N

    Rais Magufuli, Mtumbue Muhongo. Anakudanganya!

    Ukitaka kujua udhaifu wa Muhongo nenda pale Wizarani kwake uone namna alivyovuruga watumishi wake, hawana hamu nae. Ana watu wachache sana anaofanya nao kazi. Ni bingwa wa kupokea na kufanyia kazi majungu. Hili la Dangote, yawezekana kabisa anatumika na wazalishaji wa makaa ya mawe kwa sababu...
  17. N

    Rais Magufuli: Niliivunja Bodi ya TRA baada ya kuidhinisha mabilioni ya pesa kwenda benki binafsi

    Hiyo riba wanaibebaje wakati inawekwa na Benki kwenye akaunti hiyohiyo ya Serikali au taasisi husika. Kuitoa hiyo hela ni lazima unyoshe maelezo na CA anakagua. Naomba kuelimishwa hapa
  18. N

    Huu ni muda muafaka Rais Magufuli kuijua sura halisi ya Prof. Muhongo

    Nasikia Jimboni kwake ametoa Ambulance nyingi na jana kagawa vitabu vya milioni 500. Pia ana gari mpya kali sana. Hivi katoa wapi hela Prof au nae alilamba za Escrow?
  19. N

    Rais Magufuli kumbe bado unawalipa uliowaita mafisadi?

    Jamani hao si wawarudishe kazini tu ili watumikie mishahara wanayolipwa? Sasa mtu ana umri wa miaka 40 utamlipa mshahara bila kufanya kazi kwa miaka 15 ili akifikisha miaka 55 umstaafishe kwa lazima? Hapo kwa naibu katibu mkuu atakuwa amepokea kati ya milioni 600 hadi bilioni moja bila kufanya...
  20. N

    Rais Magufuli kumbe bado unawalipa uliowaita mafisadi?

    Na ndivyo itakavyokuwa, wengi hawatakutwa na hatia. Ilikuwa ni majungu tu kwa kwenda mbele na fitina kazini. Ushauri wangu, wale ambao hawana issue za msingi warudishwe kazini ili kuepusha double payment ya salaries.
Back
Top Bottom