Hii Dunia haiishi viroja.
Huku Dada zetu, Wabantu kama mimi wakipishana kuingia Maduka ya Vipodozi hadi wengine kufikia hatua ya kujidhuru kutokana na kupaka mikorogo isiyo ya viwango maalum ilimradi tu wawe na ngozi nyeupe (Kama Wazungu) wakiamini pengine inavutia zaidi ya ile waliyojaaliwa...
Hili lijamaa ni libobevu kwenye Mapigano Majini ( US-NAVY SEAL) 'listahafu' na pia lenye Mapesa yake mengi tu.
Sijajua iwapo limetumwa au ni vipi lakini, limenukuliwa likitamka Uozo huo unaoweza kumchefua Muafrika yeyote.
Kauli hii inasikitisha.
Kuona kuwa inafaa mwingine kutawaliwa, tena Zama...
Kwa wengine hii ingekuwa furaha, shangwe, nderemo na vifijo.
Kwa mama huyu wa KiNaigeria yeye anaona 'mapichapicha' tu.
.
Huku akibubujikwa na machozi mithili ya mtu aliefikwa na msiba na akihanikiza na kushinikiza Polisi wahusike kuchunguza imekuwaje mwanae ambae ndio kwanza kamaliza masomo ya...
Inaonekana ni 'Clip' ya karibuni ndani ya Onyesho la kimataifa la SAUTI ZA BUSARA, Zanzibar.
TUKIO:
Mtangazaji anamsogolea mkongwe, Mwana-HIPHOP-Mahiri, 'Mweusiiii' Lord Eyez. Huku onyesho likiwa linaendelea Stejini na anamdodosa 'Lord Eezy' maoni yake kwa Msanii mwenzake aliyeko stejini wakati...
Kuna huu Uongozi wa Kifalme,
Inasemekana hata Afrika zilikuwepo Tawala lukuki zilizokuwa na nguvu za Himaya za Kifalme na kwingineko Ulimwenguni pia.
Kwa Afrika, Tawala za Kifalme ingawa unaaminika kuwa zilikuwa nzuri zikiishi kwa Utulivu na amani zilikuja kuvurugwa na kutokomezwa na...
Anaitwa EMMA KOK, Binti wa miaka 16 tu. Usipoambiwa anayoyapitia Kiafya utadhani ni binti asiekuwa na shida yoyote kimuonekano.
Hatahivyo uhalisia ni kuwa binti huyu anao mzigo mkubwa, changamoto anayoipitia. Inasikitisha, inahuzunisha lakini ukiisoma Historia yake na anayoyafanya pasi na shaka...
Salaam,
Kwa heshma na taadhima tunakumbushana;
Ule utaratibu wa kushiriki rasmi katika Bahati nasibu ya Taifa la Amerika [USA DIVERSITY VISA PROGRAM 2024]
Kwaajili ya UKAZI WAKUDUMU, yaani Kibali cha Kuhamia na Kufanya kazi USA.
Program mpya yaani DV-2024 itaanza rasmi kuchezwa kuanzia tarehe...
TAARIFA MPYA
DV-2023 PROGRAM INAANZA RASMI KUCHEZWA TAREHE 6/10/2021,
MWISHO NI TAREHE 9/11/2021.
JIANDAE MAPEMA NA CHEZA MAPEMA.
HAISHAURIWI KUSUBIRIA TAREHE ZA MWISHONI.
KWA MASWALI AU MSAADA/ USHAURI BURE NIPIGIE SIMU WAKATI WOWOTE.
ANGALIZO:
IWAPO UTANIHITAJI KWA MAJADILIANO/KUKUTANA...
Salaam,
Kuna watu huwa wanawaponda sana wenzao waliopo Ng’ambo hasa Ulaya na Marekani wakidai kuwa ni ‘Wabeba Maboksi’ tu na hawana lolote. Kituko ni kuwa ukichunguza haohao wanaoitwa Wabeba Maboksi wengi tu ‘wametoboa’ na sasa wana maisha yao mazuri huko waliko.
Mwingine anaweza kunidadisi...
Mimi si mjuzi wa upande huu lakini najua tunao wabobezi hapa.
Jamaa yangu anauliza ajiweke wapi pazuri zaidi kati ya Gari hizo tajwa?
Ufafanuzi wa faida na hasara zinazozitofautisha hizi tafadhali kwa anaezijua haswa na ushauri wowote
Mchango wako chanya utashukuriwa.
Heri ya Mwaka Mpya Jamia.
Nichukue fursa hii kuwatia Nguvu/Mpya wa-Tanzania wenzetu (wenye Bahati zao) ambao walichaguliwa katika Michakato Miwili ya 'Kubahatisha ' yaani DV-2020 na DV-2021. Kupata Mhuri wa na Gamba la Kijani (Diversity Visa/Green Card) ya huko Marekani.
Ikumbukwe mara tu bada...
Natumai wote wazima.
Apartment nzuri zinazojitegemea (Vyumba 2 vya kulala, Sebule,Jiko,Choo) zinapatikana Kimara na Mbezi/MOROGORO Rd.
Pamoja na Nyumba (kubwa) za pekeyake zipo hizo na nyingine nyingi.
Maeneo tofauti tofauti ya Jiko la Dar.
Pia Mikoani tunakupatia huduma kwa uaminifu mkubwa...
HABARINO👋
Huu 'mtambo' unavutia na hauna changamoto kubwa za kuumiza kichwa.
Gari ipo katika Hali nzuri.
Inapatikana Dar.
SIFA:
Toleo la 1994,
Cc 2809,
Engine 3L,
Imetembea km.202,000.
Siti nzuri na ina Radio.
HAIJAWAHI KUPATA AJALI.
Bei Tshs.15 MILIONI tu.
CHANGAMOTO:
Lens ya Indicator...
TAARIFA MPYA
DV-2023 PROGRAM INAANZA RASMI KUCHEZWA TAREHE 6/10/2021,
MWISHO NI TAREHE 9/11/2021.
JIANDAE MAPEMA NA CHEZA MAPEMA.
HAISHAURIWI KUSUBIRIA TAREHE ZA MWISHONI.
UKIPENDA KUJUA NININI HASA HII PROGRAM INAHUSISHA, MASHARTI,VIGEZO NA TARATIBU ZA KUFUATA IKIWEMO FAIDA ZA KUSHIRIKI NA...
Naam,
Ni ile Bahati nasibu pekee na ya aina yake inayokuwezesha Mtanzania kuhamia MAREKANI,
Bila zengwe wala longolongo.
Itambulike,
Hii ni Bahati nasibu,
Inavyo vigezo na masharti maalumi vya kufuatwa na kuzingatiwa, mojawapo ikiwa ni Elimu ya Juu kwa mifumo wa Elimu wa Marekani,
(Kuanzia...
Ni Viwanja 'pacha' kwa Matumizi za Shughuli za makazi.
Vinauzwa vyote kwa pamoja au kimojakimoja.
Eneo: MBWENI-Maputo,
Maarufu kama Kwamasista.
Ukubwa:
Kimoja ni SQM 1227,
Kingine ni SQM 1234.
Jumla Viwanja vyote vina eneo la ukubwa wa SQM.2451.
Umiliki ni HATI MILIKI ya Wizara ya...
Kwa nduguzetu Wanasheria,
Tamko Kama Hili lina Nguvu ya kiasi gani Kisheria?
Kwa ufahamu wangu (mdogo na wamazoea)
Picha Haijawahi kuwa, Pia SIO sehemu
(kipengele cha lazima) katika Mikataba hasa inayohusiana na Upangaji/Upangishaji Majumba,
Kuuziana Sawa ipo na tumezoea.
[Ninukuuni]...
HIGHLY AFFORDABLE,
WORLD GRADE SERVICED WORK-SPACES AVAILABLE IN ALMOST ALL MAJOR/CAPITAL CITIES ACCROSS THE WORLD.
-Ranging from one person’s space, To any (unlimited) number of TEAM members.
OPTIONS:
-Suite Offices,
-Co-working,
-Virtual Offices,
-Business lounges/Meeting rooms.
We also...
Wote ni marais ambao misimamo yao imekuwa haiaminiki kufanikiwa kwa baadhi ya raia wao lakini wakielekea kuwa na misimamo ileile na wakijitahidi kusimamia katika wanachokiamini kufikia katika wanayoamini ndio maisha Bora kwa wananchi wao siku za usoni
Rais wa Marekani,
Donald Trump na
Rais wa...
Habari.
Tukiwa tumebakisha masaa tu kuuaga mwaka, Tumshukuru sana Mungu huku tukiomba mwaka ujao 2018 uje na baraka zake.
Moja ya makusudio yangu kwa mwaka ujao ni kujifunza lugha ya Kifaransa.
Katika kulifikia hili nafanya maandalizi.
Hivyo,
Niwaombe rasmi wadau kwa yeyote mwenye 'Materials'...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.