Tatizo tumeungana wakati tuna njaa, watu hufanya muungano wakishashiba. Ndio story kama hizi huibuka, umemkuta mzanzibari mmoja Dar unaanza mbona wapo huku. Umeenda Zanzibar maeneo kama Kiwengwa, Nugwi au hata pale Darajani ?
Nenda Jozani pale utakutana na kina Sara na Josephu wanafanya kazi kwenye taasisi ya utalii. Mambo ya muungano hayajulikani tena, but I hope Jozani sio taasisi ya muungano.
Mungelijua yalio kwenye mioyo ya wazanzibari, basi nadhani watanganyika msingekuwa mkija na thread kama hizi. Ukweli ukienda Zanzibar kila corner ya km kama 25 basi unapita kwenye checkpoint ya vyombo vya usalama vya Tanganyika (sawa na wapalestina).
Sasa ifike wakati tuheshimiane bana, mkiona...
Labda utuelezee nini maana ya mwafrika ? Ni mwarabu maana msudani anazungumza kiarabu. Sidhani kama aliposema yeye ni mwarabu alikusudia hivyo unavyotaka kwamba yeye sio black ni white (lengo la rangi ya ngozi).
Labda umuulize more precise are you considering yourself black or white ?
Mie nimechanja mara 2 na nilishaitwa ya 3 nimekataa. Mambo mingi nimepinga kuhusiana na JPM katika uhai wake, lakini hili la chanjo na covid-19 anaweza kuwa alikuwa juu ya mstari.
My speculation hizi chanjo ni kama sumu ya immune system, ukiweza pata upenyo kuikimbia basi fanya hivyo hususan...
Wakuu kwa ufupi kwa wale wenye haraka na muda mchache wa kusoma chapisho zima. Katika hii naibu waziri Godwin Mollel ametembelea ujenzi na kujibizana na Mkuu wa Idara ya Ujenzi (Paul Koroso).
Baada ya majibizano, naibu waziri ametoa amri Paul Karoso aswekwe mahabusu. Na polisi wakamchukua na...
Mikataba yenu inasemaje kwani ? Mie si mtumishi wa umma, lakini katika mkataba wangu kumeainishwa kiwango cha uongezekaji wa mshahara. Sasa bado najiuliza aliwazaje Magufuli aliyoyafanya na vipi watu wanaweza kujipanga yasijirudie tena huko mbele ya safari.
Kwanini watu hawaburuza mahakamani...
Sheria za ardhi kama zilivyo hazina tofauti na ile experiment ya ujamaa. Migogoro haitamaliza hadi pale tutaposema sasa wanasiasa waondoke kwenye umiliki wa ardhi.
Pengine akili yangu ni fupi, kwanini kuna tofauti kati ya umiliki wa ardhi na mali zengine kama gari / duka / nguo ? Sijawahi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.