Kwenye red hapo mkuu.
Unatutisha tusimsaidie au unamaana gani? Huyo dada/kaka kaomba kueleweshwa sasa wewe unaposema stay away na watu kama hawa unatumia mamlaka gani humu JF? Unanishawishi kuamini wewe ni mwanafunzi fake huko China. Wanafunzi wa kweli hua wanasaidiana na kueleweshana,walau kwa...
Kama ubalozi wenu umeamua mjiandikishe online nafikiri hiyo ni rahisi zaidi kwenu mkuu. Otherwise wangewaambia msafiri kutoka miji yote ya huko China kwenu mpaka uliko ubalozi kwa lengo la kujiandikisha,hapo ndio ingekua mzozo.
Kujiandikisha kama haina malipo mengine sioni kama ni kazi. Ni...
Ndivyo tulivyo siku nyingi. Sasa hapo raisi mwislama lakini bado wangependa atoke kule visiwani, na wakipata nafasi atoke kule bado wataanza mambo ya unguja na pemba. Sisi yetu macho tumebaki bara tunakula bata tu,siku zinaenda!
Acha kuargue kwa vitu usivyovijua bana. Unafikiri anasoma kwa siri? Mambo ya Kanisa yanaenda kwa mipangilio na wamehakikisha shule atamaliza na appoitment hiyo haitaathiri shule yake hata kidogo. Unajua ni kwanini wameteuliwa wawili? Unajua nani kamtuma asome hiyo shule na kwanini aamriwe aache...
Tatizo la hawa wenzetu ni ubaguzi na uchoyo tu. Nimeshakaa nao sehem nyingi ndani na nje ya TZ wanapenda sana umimi,kila mara wanajiangalia wao kwanza wakati sisi tunawachukulia kama waTZ wao wanatuona wabara. Mtabadirika lini???? Tena wengine wamesoma vizuri tu lakini wapi!
Yale yale ya "Advanced Diploma ni sawa na degree" wapi na wapi? Diploma ni diploma na degree ni degree bana. Itabaki kuwa hivyo. Kwanza hata entry qualification za kuingia diploma ni far different from those that make one start his/her M.D classes. Leo tuwaone wote sawa kwanini? tutakua...
Unaonekana ni mmoja wa wale wanaotembelea jukwaa la jokes tu kila kukicha. Badirika kidogo mkuu otherwise utashangaa hata job unaelekezwa kitu cha maana wewe waleta masihala. Jaribu kuwa serious na mambo ya watu basi kama yako mwenyewe ushayakatia tamaa.
Ila hizi story za watu kumega wake za watu huko Moshi mbona zinazidi jamani? Muda si mrefu MC Lema kasababisha story ya design hizi hapa, mara hiyo. Kulikoni???
Yaani katika mambo yote ya kuandika mkuu ndio umeona utoke kwa design hiyo? Yaani wewe upeo wako wa kufikiria ndio umekufikisha hapo? Can you come with examples of such people please? Otherwise watake lazi watoto wa masikini walioenda such places. Inamaana wewe upo sehem uliyopo kwa kigezo cha...
CAREER OPPORTUNITIES AT NILE BASIN DISCOURSE
In a bid to consolidate its achievement to date, the NBD is inviting committed, competent and dynamic professionals from the riparian countries to apply for vacancies within the NBD team of staff based in Entebbe, Kigali and Addis Ababa
Posted On...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.