Search results

  1. FRANCIS DA DON

    Je, harusi ya Adam na Hawa ilifanyikia wapi, nani aliwafungisha ndoa?

    https://www.jamiiforums.com/threads/kanisa-kupitisha-waraka-kuoa-mke-zaidi-ya-mmoja.2207510/
  2. FRANCIS DA DON

    Habari njema: Bei ya umeme kushuka kutoka Sh.600/= hadi Sh. 35/= kwa unit moja bwawa la Nyerere likikamilika

    Hakuna cha utawala hapa, supply imezidi mahitaji, kwanini wanafungulia maji badala ya kiwasha mitambo yote 9 na kushusha bei?! Tuache kutumia dollar kuagiza gesi za kupikia sasa, tutumie majiko ya umeme, maana umeme wanaumwaga bure tu na kuketa mafuriko wakati wangeweza kuzalisha umeme zaidi!
  3. FRANCIS DA DON

    Hakuna mjadala, Visungura vinaua nguvu kazi ya vijana, havina tofauti na viroba, serikali itoe tamko juu ya mauaji haya ya makudi

    https://www.jamiiforums.com/threads/ummy-tanzania-yawa-miongoni-mwa-nchi-zilizoongoza-duniani-kwa-unywaji-wa-pombe-kali-kwa-vijana-umri-kati-ya-miaka-15-19-who-report-ya-mwaka-2023.2207309/
  4. FRANCIS DA DON

    Picha: Geti lililojengwa na TANAPA kuingia hifadhi ya Nyerere kwa Tsh. Bilioni 2

    Sasa hao wahusika wameshapelekwa mahakamani?
  5. FRANCIS DA DON

    Zanzibar ipewe kipaumbele kwenye miundombinu

    Kwani ya Bara unataka yaende Zenji kufanya nini?
  6. FRANCIS DA DON

    Zanzibar ipewe kipaumbele kwenye miundombinu

    Najua, kwanini kazi hiyo wasipewe ZRA?, au ZRA kazi yao ni ipi?
  7. FRANCIS DA DON

    Leo ndio nimejua kwanini TANESCO wamegoma kushusha bei ya umeme hata baada ya Bwawa kuanza kazi mwakani

    Wewe ndio mwenye mkosi! Pambana na serikali yako washushe bei!
  8. FRANCIS DA DON

    NEEMA KUU: Bwawa la Nyerere kuzalisha umeme wenye thamani sawa na 50% ya makusanyo ya TRA nchi nzima, (Trillion 12 kwa mwaka)

    Wamezima mitambo ili kuondoa oversupply ili bei isishuke, hilo ndio lengo lao ovu.
  9. FRANCIS DA DON

    Zanzibar ipewe kipaumbele kwenye miundombinu

    Na mapato ya Zanzibar asilimia ngapi yaje bara?
  10. FRANCIS DA DON

    Zanzibar ipewe kipaumbele kwenye miundombinu

    Nini kinawashinda kukusanya wenyewe hadi watubebeshe mzigo wa kuwakusanyia?
  11. FRANCIS DA DON

    Leo ndio nimejua kwanini TANESCO wamegoma kushusha bei ya umeme hata baada ya Bwawa kuanza kazi mwakani

    Shindwa na ulegee!!! Yale yalikuwa ni maoni yangu endapo umeme wote ungezalishwa na kuuzwa, badalayake wamezima mitambo na kufungulia bwawa iki umeme usiwe mwingi, otherwise bei ishuke!
  12. FRANCIS DA DON

    Zanzibar ipewe kipaumbele kwenye miundombinu

    Wao pesa zao wanazokusanya wanapeleka wapi? Si wana mamlaka yao ya mapato au?
  13. FRANCIS DA DON

    Je, muungano wa Tanganyika na Zanzibar upo kwa vigezo vipi?

    Tunahitaji majibu sasa na sio baadae!!
  14. FRANCIS DA DON

    Benki ya Dunia yasitisha kufadhili mradi wa REGROW. Mradi huo unahusishwa na ukiukaji wa Haki za Binadamu nchini Tanzania

    Ila mkichunguza sana, unaweza kuta Kenya wanataka huo ufadhili, kwahiyo wanaleta hizo figisu
Back
Top Bottom