Wenye miono yao washajua na wametulia, tutakapoanza kuuza minerals zetu kwa halali, kuuza gas yetu na helium kwa mikataba iliyo wazi sio kama mabomba ya bandarini ya mafuta, tutakapoanza kutumia bomba LA mafuta kwenda Uganda, wanafiki wote watakaa kimya na maisha yatakuwa bora tu, huwezi kwenda...
Chukua vile vya Arusha vya TPF vizuri sana hasa mbegu yao nzito, hao vifaranga kawachukulie Dr's report ujue sababu kama chanzo sio kwako, kawadai waonyeshe report
Mapochi ya kina Dada ya mitumba, unanunua kwa jumla unasafisha vizuri, shona yawe kwenye hali nzuri, unayauza being nzuti maana ni leather na material yake mengine ni imara, yanahitaji muda was kuyarrkebisha tu, yatakulipa sana kwa hela hiyo
Kwa hiyo umeona hayo tu yatakayoathiri jamii zetu, private life ya watu na lifestyle ya mtu? Huoni kama huo ni mpaka unaovuka usiokuhusu? Hauoni tatizo lingine lolote, huwaoni watoto wasiosoma, vijana walokosa ajira, maharamia, ugumu wa maisha....vyote hivi haviathiri jamii yetu na kuhitaji...
I have an idea for u, how about u move away from one another, sababu inaonyesha the main reason u two r so close is bse mko karibu sana, try na move elsewhere, am sure it will help u dada, i know feelings can b very tricky, lakini u will meet some1 u can b intimate with, but not ur Bro, :)
Lazima uwe na mtu wa kukupokea, vitu vinavyoumizaga kwa wenzetu ni rent, tax, bills (gas, electr na water) ukiwa na mtu wa kushare nae place will always b on ur advantage, pili australia wana tier system, watch out for that, angalia kama utaqualify points zako hata kama umesoma kwao, best option...
Matikiti hasa yanataka jua, ila huyo mtt wako hajayamwagilia maji ya kutosha, na pia upige dawa kuzuia wadudu wasigonge maua yanapoalikA, ila muhimu maji hasa hiki ndio kilindi kizuri cha kupanda, pole kwa hasara, pia angalia mbolea unapopanda , kama kali sana inaweza kusababisha yakakosa afya...
Ni D Balali ndie aliesema kuwa kuna mwanasiasa mkubwa atafariki na mambo mengine ikiwemo Magufuli atashinda na upinzani itapata idadi kubwa ya viti, anzeni kuhesabu utabiri wake....napita , RIP mch
Unaelewa maana ya mada? na umeisoma vizuri hiyo topic? Ina haja gani ya mimi kueleza kama yamenikuta au la? hiki ni kitu kilichopo ndani ya jamii na nilichofanya ni kutaka kujua jinsi gani watu au wanajamii wanalichukulia jambo hili, na ndio maana nikasema uwe na hoja sio unakuja kuuliza swali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.