Jambo jema kuombeana. Kabla hujamwingiza kwenye maombi, inatakiwa uwe na uhakika wanaishi pamoja kama mke na mume au? Kama si hivyo basi inabidi kwanza wafunge ndoa takatifu ndio maombi yatafanya kazi vizuri.
Kisa kizuri chenye mafundisho. Hii kitu ni kweli kabisa, mimi binafsi huwa nashindwa kuelewa unaanzaje kusema huwezi kuachana na mtu? Unamlilia yaani kweli? Sielewi kabisa. Mungu atusaidie na atupe ufahamu, kumlilia mwanadamu eti ameniacha siwezi fanya hiyo kitu. Thamani yangu ni kubwa sana na...
Hayo ni majini mahaba. Yanakuwa kama yamemwao katika ulimwengu wa roho tayari. Yanatabia ya kumiliki yaani hapo hayapendi hayo mahusiano yenu, mwisho wa siku yanaweza kuvunja hata mahusiano. Ni mabaya sana, dawa ni kumpeleka kwenye maombi aombewe yatatoka na baada ya hapi asimame mwenyewe katika...
Jizoeshe kumtafuta kila mara halafu baada ya muda kaa kimya kwa kuwa amezoea wewe kumtafuta kila mara ukikaa kimya atakuwa anakutafuta. If that won't work then know there is something behind that relationship. Work on that
Kila jambo na wakati wake. Kama vile vidole vilivyo havifanani hivyo hata siku ya kuolewa au kufanikiwa hazifanani,usiwaze sana kuolewa just live your life hiyo hiyo ya kumpendeza Mungu on the way utampata umtakaye. Usiwe desperate sana,huwezi jua Mungu anakuepusha na mangapi. Huko unapotaka...
Mapenzi hayana formula hata siku moja. Usikariri hii sio pai ambayo ipo constant kwenye hesabu. Mke mwema anatoka kwa Mungu sio anatoka utotoni au ukubwani
Unapozidi kutafuta mke,pia zidi kumwomba Mungu. Imeandikwa atusamehe dhambi zetu zote na atuponya magonjwa yetu yote. Hakuna linaloshindikana kwa Mungu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.