Nimeona thread nyingi zikimponda huyu na kumsifia yule kuhusu uchaguzi wa uraisi 2020..
nikapata wazo , kwanini tusijadili bila ushabiki wa vyama vyetu , kwa maslahi ya taifa letu kwanza kwani tukikosea kuchagua tunaumia wote ,
Ni Nani anayefaa kutuongoza Tena kwa miaka mongine mitano mbele...
Wadau , habari zenu ..!!
Napenda niende moja kwa moja kwenye hoja yangu
Wilaya ya Buhigwe iko mkoani kigoma iliyogawanywa kutokea wilaya ya kasulu , buhigwe Ni kata yenye vijiji kadhaa na ndio makao makuu ya wilaya kiutawala , ukiafika buhigwe utadhani siyo wilaya kulingana na mazingira na...
Wadau,
Naomba kufahamu utaratibu wa kupata uraia wa Rwanda ..
Nimetoka kutamani Sana kuishi huko kutokana na jinsi raisi wao anavyopambana kuwasaidia wanainchi wake waishi maisha mazuri
Nisiongee Sana maana Kuna watu humu wakisikia jina la kagame wanatetemeka na wengine wanachukia
Naombeni...
Wadau naomba kujuzwa nitawezaje kupata hiyo petition ili na Mimi nisaini ??
Hi ni kwasababu bunge linahisi lenyewe Ni Bora kuliko maslahi mapana ya watanzania , mahesabu ya Kodi yetu Ni muhimu Sana kuliko hao
Nimefuatilia Sana na kufanya ka uchunguzi kadogo Sana ingawa Sina data za kutosha , nimegundua kwamba miongoni mwa wanasiasa ambao wamebaki kwenye chati yao waliyoanza nayo ni huyu kijana zitto
Nimemufahamu zitto tangu kwenye kashfa ya Buzwagi ambapo ndipo alipata umaarufu wake na ameendelea...
Huyu jamaa ni dhahiri shahiri kwamba anatapatapa Sana , kwani ataivuruga EAC ,.
Alitoka kumshutumu kagàme kwamba anahtarisha usalama wa inchi yake ,
Sasa hivi karibuni amekwaruzana na museveni ..
Mu7 alimushauri akae meza moja na wapinzani , yeye akamjia juu kwamba hawezi kukaa meza moja na...
Nimepitia threads nyingi Sana na comments za watu zinazomhusu Paul kagàme, nimesikitika Sana kwa njisi ambavyo watu hawamupendi kagàme , ninaomba tufanye uchunguzi na comments bila chuki binafsi
Angalieni , katika inchi za Afrika au duniani kote , Ni raisi gani amefanikiwa katika kuiletea...
Nimesikia Waziri akimtafuta mbwa aliyepotea kwa nguvu zote.
Kuna watu wengi wamepotea lakini hatusikii wakitafutwa kama huyu mbwa anavyotafutwa.
Waliopotea ni wengi kama Azori Gwanda na Ben saanane.
Sasa sijui hii imekaaje ?
Imenikumbusha enzi zetu kijijini ,
Gari kuonekana mtaani ilikuwa ni sherehe kubwa ,
Basi watoto wote mtaani tunaenda kuishangaa ,
Nadhani hii ya juzi ya ndege kubwa ukilinganisha na Bombadier
Kutua tz ni Jambo la ajabu Sana,
Ndege imetua tu kwa dharura watu wanashangilia Kweli kana kwamba...
Wadau,
Nauliza tu,
Hivi kwa dalili hizi , siyo kwamba inshu ya Lissu ndio imeshaisha tayari kama ilivyokuwa kwa yule daktari aliyengolewa kucha?
Nakumbuka mzee JK alipokua akiandamwa na kashfa mbali mbali alikua anasema huo ni upepo utapita tu,
Sijui na hili la Lissu ni upepo tu????
Wadau, naomba kanuni za bunge zirekebishwe..
Lengo ni kupata spika. Wa bunge ambaye Hana chama chochote Cha kisiasa ili haki itendeke..
Spika yeyote hata Kama angetoka chadema lazima angekuwa Kama job ndugai kwa kuonyesha ushabiki wa kichama badala ya kusimamia Sheria na kutenda haki Bila...
Wadau...
Huwa nikipita mitaani hapa Tanzania huwa hasikia watu wengi wakiisifia Sana inchi ya Rwanda na rais wao mpendwa kagame..
Inafikia hatua Hadi wanatamani Sana kuwa wanyarwanda kulingana na mafanikio waliyonayo kwa kipindi kifupi know..
Mfano, utasikia watu wakisema eti mm Babu yangu ama...
Wadau, Kuna majengo ya Kifahari yamejenga japo Msoga, Pia kuna barabara za lami zinaingia ndani ya Kijiji.
Sijui nani kafanya yote haya? Je, ni JK? Na kama ni yeye, Kafanya kwa hela zipi? Na kwanini iwe Msoga tu?
.... Ex Chadema Watakuwa Katika Mpambano Wa Kuwania Jimbo La Kigoma Mjini. Hii Ni Baada Ya Kuwepo Tetesi Kwamba Amani Warid Kabourou, Ambaye Alikuwa Chadema Atagombea Ubunge Kupitia Ccm, Huku Zzk Naye Pia Alikuwa Cdm Atagombea Jimbo Hilo Kupitia Act. Zzk Amelikimbia Jimbo Lake La Awali Baada Ya...
Wanachukua Kadi Za Wanachama Wao Na Kuwaandikisha Mapema Iwezekenavyo, Na Hii Inafanywa Kwa Siri Kubwa.
Wakishaandikisha Watu Wao Huwashinikiza Waandikishaji Waseme Kwamba Mashine Ni Mbovu Na Huwa Ni Pale Wanapoona Vijana Ndo Wako Kwenye Foleni Ilimradi Waandikishwe Wachache.
UKAWA Hilo...
.... Wadau, Mwenye Macho Haambiwi Tazama. Wagombea Wa Urais Ndani Ya Ccm Wengi Wanatumia Sana Hela Kuisaka Ikulu Ingawa Matumizi Ya Hiyo Hela Yanatofautiana Kulingana Na Uwezo Wa Mgombea. .... Kinachonistua Ni Jinsi Huyu Mwenye Nywele Nyeupe Anavyoendelea Kutumia Pesa Nyingi. Mimi Mwenyewe...
Wadau, Idadi Ya Wanyarwanda Wanaotaka Mabadiriko Ya Katiba Yao Kifungu Cha 101 ili kumruhusu kamanda mpambanaji PAUL RUTAGAMBWA KAGAME atetee nafasi yake katika uchaguzi ujao imezidi kuongezeka mara dufu. Hii Inaonesha Na Huo Ndiyo Ukweli Kwamba KAGAME Ni Lulu Ndani Ya Rwanda, Imefikia Hatu...
... Wadau, Kila Nikiumiza Kichwa Sioni Mwanga Mbele Ya Safari Ya Ukombozi Wa Nchi Yetu.. Ukawa Ndiyo Tegemeo Letu Katika Kutuvusha Nchi Ya Ahadi Ya Maziwa Na Asali, Lakini Je, Itawezekana?? Nauliza Hivyo Kwasababu Zifuatazo, Kwanza Ccm Kwa Vyovyote Vile Hawako Tayari Kuachia Madaraka Kwa...
Katika Mikutano Ya CHADENA, Kuna Style Naipenda Ya Kupunga Mikono Hewani Huku Na Kule Kama Ishara Ya Kwaheri.
Naipenda Sana Hiyo Style Lakini Sijaelewa Ina Maana Gani. Nimeona Hata Mikutano Ya Baadhi Ya Maccm Wanaanza Kuiga.
Anayejua Maana Ya Huo Mtindo Anifahamishe Tafadhari..!
.... Wadau, Ombeni Sefue Amesema Uchunguzi Wa Kamati Ya Maadili Ya Uma Dhidi Ya Kina Maswi Umekamilika. Ripoti Itawekwa Hadharani Mda Si Mrefu. Wasiwasi Wangu Ni Kwamba Watuhumiwa Wengi Kama Maswi Watasafiswa Na Kuonekana Hawakuhusika Kwenye Sakata La Escrow, Hii Ni Kwasababu Werema Alishasema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.