Ukiangalia hiyo picha vizuri mbona huyo mwenye shati jeupe nae ana madoa ya jasho kifuani na hamumsemi.... tofauti ya jasho kwapani na kifuani ni ipi? Yote sababu ya hali ya hewa bana labda walitokea mitaa yenye OVEN, so vi-deodorant vikashindwa kufanaya kazi. Wote wamependeza sana bigup guys!
Ukweli kawshangaza wengi kawa kauli zake zisizo na ukweli na zenye lengo la kupotosha umma. Sasa swali liko kwa bosi wake kwa nini hajamwajibisha kinidhamu/kitabia/kimaadili n.k.
Huku kusini ni marufuku kurudi nyumbani au kumtembelea mpenzi wako bila taarifa. Ukifanya hivyo ukikuta kuna issue au akikuripoti kwa wazee wa jadi unakula fimbo 6 matakoni na onyo juu. Wanaume huku wanaheshimu hiyo mila yao hivyo issue za kufumaniana ni chache.
Utumiaji wa miraa unakupa ujasiri usio wa kawaida statistics from media/news zinaonyesha majambazi sugu/makubwa na masterminder wa matukio makubwa ya ujambazi wanatokea Arusha na wanashirikiana na wa Nairobi, labda miraa its a secret.
Hivi hii miraa kwa kiingereza au botanical name yake ni ipi, tunaweza google na kuona madhara yake as proven na pengine kuona duniani inapatikana wapi tena.
Mwenye data tafadhali.
Mbona kulikua na fununu kuwa huyu Aisha Kigoda ni wife wa yule ex-minister wa mipango na uchumi Bw. Kigoda. Ukweli ni upi au kuna katalaka kalikojificha hapo?
WANAJAMII MMEMUONA KANUMBA NDANI YA NYUMBA? LUGHA INAVYOMSUMBUA NA ANAVYOJITAHIDI KUJIFWAGILIA KUWA YEYE NI CELEBRITY? HEBU MCHAMBUENI KIDOGO.... mfano pale BIG alipowataka waandae mapokezi kwa housemate na akawapa dakika kumi za kufanya hivyo... Celebrity Kanumba akasema " so Big want us to...
Perhaps you should tell us who do you want to replace jews as media controllers? Otherwise your atticle should end by congratulating jews for making the world such a small village whereby every news is in your finger tips, choosing what to read, watch or buy remains ones personal choice.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.