Mkuu muwekee mtego wa rushwa anataka mpunga 2 huo hana lolote.We chukua mpunga umpe upge kazi ushauri wa bure uktaka wa hela nenda kashtaki hakuna atae kusaidia hata mia.
Nataka nikamshtaki jamaa mmoja baada ya kumpa simu yangu leani kwa elfu20.
Akaniambia angetoka na kurudi baada ya cku kumi, lakni jamaa alikaa hadi cku 30.Alipo fika jamaa hakuwa na cm zaidi ya hapo nikaambulia swaga za kila cku.
Na risit ya ile cm ninayo, nataka nikamshtaki ili anilipe cm...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.