Vyombo vikuu vya habari hawatangazi shughuli za Chadema. Siyo haki kwa TBC na hata ITV kufamya kazi kama mali ya CCM.
Ni muhimu Chadema kuanzisha vyombo vyao vya habari. Sina shaka kukiwa na TV Chadema itapata watazamaji wengi sana.
Siyo kazi ndogo kuanzisha TV lakini Chadema siyo chama...
Gharama ya mradi kusemwa kwamba ni $42 billion haimaanishi fedha hizo zitaletwa Tanzania. Sehemu kubwa ya gharama itatumika ughaibuni kulipia front end design na kununua vifaa (eg big gensets) ambavyo vitabakia kuwa mali ya makampuni husika.
Kuna fedha zitaingia Tanzania, hasa wakati wa...
Kama msanii angekuwa na wakili mzuri nadhani hangetiwa hatiani.
Kumtukana Rais maana yake ni nini? Kusema neno la kumshutumu Rais ni kumtukana? Wakili msomi angehoji mashahidi vizuri na mambo yangekuwa tofauti.
Maudhui ya wimbo siyo mazuri. Labda kufungia wimbo ingekuwa sawa lakini kutukana...
Ufumbuzi ni kukataza wakulima kuuza mazao yao kwa anayewapa bei ya juu zaidi? Au ni kuwakataza wasiuze kabisa mazao yao? Ifike mahali wakulima wawe treated kama watu wanaoweza kujiamulia wenyewe. Nani kakuambia wanaouza hawajajiwekea akiba? Kama itabidi wapate njaa ndiyo wajifunze basi na iwe hivyo.
Kuna harufu ya hujuma wwenye mifumo ya malipo ya serikali.
Mwanzo ilifanya kazi. Sasa ni kazi sana kuitumia. Mimi nina siku nyingi sasa za kujaribu kulipa kodi za ardhi na gharama za maegesho kwa njia ya mifumo ya kulipa kwa kielektroniko bila mafanikio.
Siku za nyuma nimelipa kodi na tozo...
Watu walijadili na Pik Bother, PW Bother, Frederick De Klerk Ian Smith na matokeo yakaonekana. Mau Mau walijadili na mtawala wa Kenya Colony na matokeo chanya yakapatikana.
Ni sahihi kabisa kwa vyama vya upinzani kujadiliana na chama tawala. Cha msingi ni kuwa macho. Kuna waliohodhi madaraka...
Sio Lazima Kuisubiri Serikali Kwa Kila Kitu.
Masikini Watanzania wengi bado wanadhani serikali ni baba mama au mjomba. Ukifuatilia taarifa za habari zilizoko redioni, magazetini na kwenye runinga utashangaa jinsi watu wanavyoisubiri serikali iwafanyie vitu ambavyo wao wenyewe wangepashwa...
The proposal being floated that students be streamed into academic or technical schools after six years of education (German model) is a good one. But then you must equip the schools and pay the teachers a living wage for this to work.
If we continue to pretend to pay the teachers then they...
We are still constructing the terminology that is required to describe science and technology at post primary education. We do not have the linguistic infrastructure and books to correctly teach science and technology in Kiswahili at the Post secondary level at this time.
There is a raging debate on education in Tanzania at the moment. This is as it should be. But there is a lack of clarity on foundational matters.
The political elite is blaming curricula for the woes in education. But we are in fact using the same kinds of curricula that are being used in...
Kama ni kweli basi nawalaumu sana viongozi wa SAUT. Siwezi kuwalaumu wanafunzi kwani inawezekana hawakubaliani na hii tabia.
KUJIKOMBA (bootlicking) siyo sifa (attribute) ya chou kikuu. Ni kitu kinashusha hadhi ya chou kikuu sana, na kinabaki simply a glorified high school. Kujikomba, by...
Mkuu Bambushka,
Ujue ardhi ya DRC ilikuwepo siku zote. Kama ndiyo iliyowapaisha Rwanda, basi ujue ni alipopatikana kiongozi mzuri ndipo ilipotumika vizuri hiyo ardhi.
Swali la lugha sio kwamba tujue Kiswahili au Kingereza. It is not EITHER OR, but it is rather BOTH AND.
Watanzania wanaomaliza elimu ya sekondari na kuendelea waweze kuandika na kuzungumza Kiswahili na Kiingereza.
Watoto wanaosoma international schools wanakuwa na hiyo hali ya kumudu lugha...
Mfano wa Rwanda unatuambia “ili tuendelee tunahitaji uongozi bora”. Vita vya kimbari vilileta mauaji ya kutisha Rwanda 1994. Walichinjana watu laki nane.
Baada ya vita, Rais Kagame akachukua nchi. Ilikuwa kama failed state, lakini sasa ona waliko. UONGOZI BORA is the conditio sine qua non for...
Rais yuko sahihi hapa. Kukopa ukala ni kosa, lakini kukopa ukawekeza kwenye miradi yenye uwezo wa kurudisha deni ni sawa sana.
Mfano mzuri ni reli mpya ya Nairobi hadi Mombasa. Kenya walikopa wakaijenga. Sasa direct benefits na spin off businesses zake zinachangia sana kuinua uchumi wa Kenya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.