Kulikuwa na dawa inaitwa ngetwa3. Nilitumia kwaajiri ya maralia lakini ikaadimika baadae nikawa naiona kwenye maduka ya waindi mtaa wa uhuru kariakoo kwa bei ya juu.
Sasa nina muda mrefu siioni.
Nimekuwa nikijiuliza kwanini masoko ya jiji la Dar yaliyo mengi ni mabanda ya hovyo mvua zikinyesha ni kama upo ktk zizi.Je mipango miji lko hivyo.Ina maana watu binafsi wana uwezo kuliko manispaa zetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.