Bora lisionekane Maisha Katika Mtandao kwani limepoteza Sera na mwelekeo wa kuwa ni gazeti huru lenye kufuata maadili na uadilifu, limekuwa ni gazeti lilioloegemea Chama Kimoja cha Siasa nacho ni CHADEMA, kiasi ambacho ni karaha na aimbu Kwabodi nzima ya Mwananchi, na hasa kwa Mhariri wake mkuu...
Akatembezwe Nchi Nzima yeye ni kama nani? Mtei atakubali hilo? yeye ni Mbowe, ukiamua kutoa mawazo kwanza angalia historia ya CDM ndio useme kama hujui Uliza wenzio.
Twasubiri hiyo taarifa yenu Magandwa, ila nasikia MTEI, NDESAMBURO, TUMBO,LEMA watatajwa majina yao kuanzia Jumaane kwani walisahauliwa haya na tusubiri ila Tume Inaapishwa Ijumaa Kabla ya Sala Minal Faidhin nyie subirini vikao Umma unajiandaa kutoa Maoni wala hawatosikilkiza Upuuzi wa yeyote.
Ukombozi wa dola huru ya watu wa zanzibar ilobakwa sasa kurejwea kwa wenyewe, hongera kikwete gobachev wa tanzania, sasa jitahidi kutafuta mtaalamu atakae kuja kuangalia mgawanyo wa madeni na faida kwa dola huru ya zanzibar yaliojiri sudan sasa hapa yashatimia muungano mwisho umeshafikia
Wazo zuri Mkuu Kwani Uzini CHADEMA Walitumia Milioni MIA TATU Waliambulia Kura 285, sasa huku ni kufuja fedha za umma hujawaangalkia CCM walitumia zaidi na Setrikal;i zaidi ni kweli ip[o haja ya kumpa mshindi wa pili nafasi kwani alishapigiwa kura na wqananchi. Taarifa Kutoka kwa Zitto kabwe...
Ahsante sana Julius kwa kuuweka Uwazi na Ukweli hadharani kiasi hiki, huu ndio mwazo wa ushindi wa kweli wa kidemokrasia kwani ina hadi kuifikia ina mwendo mrefu na visiki vingi. Usivunjike moyo wewe na Chama Chako endeleeni na jipangeni na mwishowe mtafika.
CHADEMA ni Chama Kilichokosa...
Hasara ya Mtu kukosa akili, hivi wewe unafikiri Zanzibar ni koloni la Watanganyika? ama kwli asiekujuwa hakuthamini, Zanzibar imeingizwa katika Ukoloni wakitanganyika kwa mbinu na hadaa chafu zailizopangwa na USA pamoja na Mamluki Wao Julius Nyerere hivi wewe umefikiri sawa sawa au ndio wale...
Hivi wewe unaakili timamu? au umechanganyikiwa kwa kuchezeya matapu tapu bila ya kula? Zanzibar katu hawakubali kuunganishwa na kwa daraja na Tanganyika? Hawataki Muungano seuze daraja juha Mkubwa wrewe.
Shujaa Mwamwindi atakumbukwa daima kwa kukataa dhuluma ya Julias Nyerere na kikundi chake, kilichofikia kiwango cha unyama wa kuwahamisha watu katika vijiji na mji yao na kuwatupa maporini wewngi wakaliwa na simba, huku yeye akikaa Msasani na raha zake.
Nyerere kwa Unyama wake na Chuki kwa Wazanzibari alizokuwa nazo ndio aliamua kwa Makusudi kumpeleka Hanga Zanzibar akijuwa kuwa anakwqenda Kuuliwa, ni yakusikitisha na hayatosahaulika haya ya Ushenzi alioyafanya Julius Nyrere kwa Wananchi wenzake, ilikuwa ni unyanyasaji wahali ya juu sikuile...
Nchi isiyokuwa na Nidhamu inayowachwa Wahuni wafanye fujo watakavyo huku wanasiasa wavaa Magwanda wakihamasisha fujo kuwa ni moja ya sera zao matokeo yake ndio haya ya leo asubuhi Mjini Mwanza, hivi sasa tumeshawafikiosha vijana wetu kuvamia raia wenzetu wenye ngozi nyeupe na kuwahujumu kwa...
mbowe ni tobwe katika siasa zote na hata siasa za maisha yake ni mtihani, kama hujui utamu wa ndowa ya mkeka kamuulize samwel sitta, Werema, na Pinda kwanini Rasimu ya marekebisho ya kuundwa kwa tume ya Maoni ya Katiba ilishindwa kuwasilishwa Bungeni? ilizuwiwa na hao unaowaita majitaka, sio...
Mungu atawapa Afya njema na Kurudi Nyumbani Kuwatumikia Wananchi, hili si lakufanyia Kejeli kwani Binaadamu hajamaliza Kuumbwa, leo wao kesho kwa Viongozi wengine wanaotajika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.