Kuna video ya mahojiano na aliyekuwa waziri na pia Mwakilishi wa Tanzania UN Mheshimiwa Amina Salim Ali inayotembea kwenye mitandao ya kijamii akielezea kuwa Zanzibar ndiyo iliyotoa mtaji wa kuanzisha BOT kule kwenye East Africa Currency Board.
Na pia katika makubaliana ya muungano pia kuna...
Naamini kuwa kama serikali ikiamua kufunga kazi na wanaweza kupata trilioni 5 easily toka kwa mafisadi.
Imagine CCM nao wakiamua kufanya purge ya kufilisi na kweka ndani walioiba mali za chama.
Hii inanikumbumbusha purge iliyofanywa na Mohammed Bin Salman wa Saudi Arabia
Lakini pia wasiwasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.