Habari zenu wakuu, nataka kuhakiki cheti cha kuzaliwa kwa ajili ya kuomba mkopo (HESLB) kwenye mfumo wa online eRITA.
Nimejaza details zote lakini kuna moja "entry no" ndio sijui nijaze nini, naomba msasa tafadhali
Habari zenu waungwana.....ishu ipo hivi...
Kuna jamaa yangu anakaa Malawi sasa ana demu wake yupo Iringa, jamaa ana muda wa miezi nane sasa hajaonana na mpenzi wake huyo
Mkasa ni kwamba, wiki iliyopita huyo dada alichora picha kwenye karatasi na kuipiga picha kumtumia msela, sasa kwa bahati...
Jamani kiukweli suala hili limetokea takriban mara 100 kwa macho yangu,mwanamke akiona mwenzie anatoka na jamaa fulani hapendi,lazima aone wivu...haya juzi hapa nimepata demu mkali,kuna rafiki yake mmoja hapendi,hatusalimiani mpaka leo kisa namtifua rafiki yake...ukipita na demu wako lazima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.