NINAO matajiri wanaojenga baada hata ya 70 maana nyumba ni asset itakayoweza kuhifadhi watu na kuwapatia kipato wote watakaoimiliki kwa miaka kama 40-50 tangia kujengwa.Ni vizuri kufikiri mbali kuliko miaka yetu
KWA wenye macho na akili nzima ni vizuri kumsoma GHASSANY....KWA HERI UKOLONI,KWAHERI UHURU.Ni utafiti bora wa siasa na mustakhabhali wa Zanzibar ikitizamwa kihistoria
Nina hakika kuwa njia sahihi kwa CUF CHADEMA +ACT ni kutumia mahakama zetu JIMBO KWA JIMBO kwa kesi zenye ushahidi wa election irregularities hata ziwe 250 na nina hakika kwa quality ya WANASHERIA mliopo kwenye vyama na supporters wa haki mtashinda walau kesi 30.
Waacheni walioshinda waende...
Binadamu wa European Union wanajadiliana namna ya kuunganisha uwezo manunuzi na PPE(personal protection equipment) pamoja kiasi kikubwa kukabiliana na janga(PANDEMIC HII) kuunganisha nguvu za kitaalamu kubaini yasiyojulikana kumhusu mdudu huyu namna ya kuwezeshana KIUCHUMI kupunguza makali ya...
kuna kitu naogopa kuuliza.Iwapo sample ikichukuliwa MWANZA inapelekwa DAR na iwapo sample ikichukuliwa LUNGALUNGA ama TAWEETA(mgeni soma TAVETA) majibu yapo hapo hapo nani hasa yuko MAKINI na mwenye tahadhari?
LUQMANN ni roho mbaya kuuliza kwa nini mtu mmoja anajitoa kumchangia mwenzie ambaye ni wazi wewe humpendi mchangiwaji!NENO NI HILI wachangaji siyo wajinga na wachangiwaji siyo maskini wala WEWE huna akili sana ujue ni kwamba umefuta ujinga tu,na unahitaji kusoma zaidi na zaidi.
KWA sovereignty hiyo SIR PASKALI MAYALA inamaanisha tunaweza kuteketeza kikundi cha kijamii , kidini, kisiasa au utamaduni fulani wafe waishie mbali na tusihojiwe?Test nzuri ya hili ni case ya Tanzania kumtoa Idd AMIN nje ya mipaka na kuendelea kupigana hadi Kampala.Je hii ni uingiliaji wa...
Natafuta historia iwapo kuna Rais Marekani amewahi kuruhusu ama REPUBLICAN AU DEMOCRAT kinunue na/ama kihujumu wapinzani wahamie chama tawala.Nakusanya pia matamshi ya wanasiasa waandamizi wa chama chetu pendwa yaliyo ya kihamasishaji kuelekea jinai za kila aina ikiwemo mauaji na kuomba msaada...
ni wazi kuwa tunaangalia jambo hili kimzahamzaha kama darby ya SIMBA/YANGA MAN U/MAN CITY au GOR MAHIA/AFC LEOPARDS lakini kiuhalisia Tanzania siyo kisiwa chaamani ustaarabu wala kupigania uhuru na usawa kama ilvyokuwa miaka ya 60 70 na 80
Tutaanza kuwaza tukifika daraja la 2025 namna ya kuvuka.
Bora tungefikiri tunataka Katiba ipi ituongoze Kama ground norm.
Nani wa dini ipi na umri upi ni fikra isiyotosha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.