Search results

  1. KOMBESANA

    Kuna umuhimu wa kujenga nyumba ukiwa na miaka 60?

    NINAO matajiri wanaojenga baada hata ya 70 maana nyumba ni asset itakayoweza kuhifadhi watu na kuwapatia kipato wote watakaoimiliki kwa miaka kama 40-50 tangia kujengwa.Ni vizuri kufikiri mbali kuliko miaka yetu
  2. KOMBESANA

    Zanzibar 2020 Zanzibar: Hafla ya kuapishwa Rais mteule Awamu ya Nane, Dkt. Hussein Mwinyi Uwanja wa Amaan

    KWA wenye macho na akili nzima ni vizuri kumsoma GHASSANY....KWA HERI UKOLONI,KWAHERI UHURU.Ni utafiti bora wa siasa na mustakhabhali wa Zanzibar ikitizamwa kihistoria
  3. KOMBESANA

    Uchaguzi 2020 Aida Khenani (CHADEMA): Siwezi kuwasaliti wananchi wa Nkasi Kaskazini, mimi ni mbunge halali, ninasubiri kuapishwa tu

    Nina hakika kuwa njia sahihi kwa CUF CHADEMA +ACT ni kutumia mahakama zetu JIMBO KWA JIMBO kwa kesi zenye ushahidi wa election irregularities hata ziwe 250 na nina hakika kwa quality ya WANASHERIA mliopo kwenye vyama na supporters wa haki mtashinda walau kesi 30. Waacheni walioshinda waende...
  4. KOMBESANA

    Magari ya mizigo kutoka Kenya yazuiwa kuingia Tanzania kupitia mpaka wa Horohoro (Lungalunga)

    Binadamu wa European Union wanajadiliana namna ya kuunganisha uwezo manunuzi na PPE(personal protection equipment) pamoja kiasi kikubwa kukabiliana na janga(PANDEMIC HII) kuunganisha nguvu za kitaalamu kubaini yasiyojulikana kumhusu mdudu huyu namna ya kuwezeshana KIUCHUMI kupunguza makali ya...
  5. KOMBESANA

    Mahakama Kuu: Sheria inayozuia watuhumiwa kupewa dhamana ni kinyume cha Katiba. Serikali yaazimia kukata rufaa

    LAWS and consequently courts of law are like cobwebs.TOO STRONG if you are WEAK and too WEAK FOR THE STRONG!
  6. KOMBESANA

    Jenerali Ulimwengu: Kusema kuwa Mungu amesaidia kupungua kwa Wagonjwa wa Corona ni Dhihaka kwa Mungu na ni Porojo

    Naomba kujua iwapo viongozi wanaenda ibadani kuabudu jamani ama kufanya nini?
  7. KOMBESANA

    Madereva 12 wa Tanzania wazuiwa kuingia Kenya baada ya kugunduliwa kuwa na COVID-19

    kuna kitu naogopa kuuliza.Iwapo sample ikichukuliwa MWANZA inapelekwa DAR na iwapo sample ikichukuliwa LUNGALUNGA ama TAWEETA(mgeni soma TAVETA) majibu yapo hapo hapo nani hasa yuko MAKINI na mwenye tahadhari?
  8. KOMBESANA

    CHADEMA kuchangisha Milioni 350 ni maigizo na fedheha

    LUQMANN ni roho mbaya kuuliza kwa nini mtu mmoja anajitoa kumchangia mwenzie ambaye ni wazi wewe humpendi mchangiwaji!NENO NI HILI wachangaji siyo wajinga na wachangiwaji siyo maskini wala WEWE huna akili sana ujue ni kwamba umefuta ujinga tu,na unahitaji kusoma zaidi na zaidi.
  9. KOMBESANA

    Tanzania ni nchi huru, a Sovereign State, Mahakama zetu ni huru? Hizi ndizo hukumu zetu za haki, who the hell is Marekani kutuingilia? Je, tukubali?

    KWA sovereignty hiyo SIR PASKALI MAYALA inamaanisha tunaweza kuteketeza kikundi cha kijamii , kidini, kisiasa au utamaduni fulani wafe waishie mbali na tusihojiwe?Test nzuri ya hili ni case ya Tanzania kumtoa Idd AMIN nje ya mipaka na kuendelea kupigana hadi Kampala.Je hii ni uingiliaji wa...
  10. KOMBESANA

    Hukumu ya Viongozi wa CHADEMA: Seneti ya Marekani yadai Tanzania ni vigumu kuwa na Uchaguzi Huru 2020

    Natafuta historia iwapo kuna Rais Marekani amewahi kuruhusu ama REPUBLICAN AU DEMOCRAT kinunue na/ama kihujumu wapinzani wahamie chama tawala.Nakusanya pia matamshi ya wanasiasa waandamizi wa chama chetu pendwa yaliyo ya kihamasishaji kuelekea jinai za kila aina ikiwemo mauaji na kuomba msaada...
  11. KOMBESANA

    Mahakama ya Kisutu imewatia hatiani Viongozi wa CHADEMA na kuwahukumu kulipa faini ya Tsh. Milioni 350 au kwenda jela, Wapelekwa Segerea

    ni wazi kuwa tunaangalia jambo hili kimzahamzaha kama darby ya SIMBA/YANGA MAN U/MAN CITY au GOR MAHIA/AFC LEOPARDS lakini kiuhalisia Tanzania siyo kisiwa chaamani ustaarabu wala kupigania uhuru na usawa kama ilvyokuwa miaka ya 60 70 na 80
  12. KOMBESANA

    Pongezi (za awali) kwa CHADEMA kwa uamuzi mgumu dhidi ya Kubenea na Komu

    SOME INFO.....IS NO INFO...IT IS A WAY OF ELICITING INFO...MEMBERS BE ON THE WATCH!
  13. KOMBESANA

    Kwanini injili ya Barnabas iliteketezwa?

    iko wapi sasa hiyo INJILI?
  14. KOMBESANA

    Familia ya Mohammed Dewji yatenga Bilioni Moja kwa atakayefanikisha kupatikana kwa Mo

    MO?,OK HOW ABOUT OTHERS?NASOMA ANIMAL FARM,CHA GEORGE ORWELL,...SOME ANIMALS ARE MORE EQUAL THAN OTHERS ....
  15. KOMBESANA

    PSSSF kuanza rasmi Agosti mosi 2018

    naomba mwenye soft copy ya kanuni za PSSSF,tafadhali atupie hapa tujisomee!SHUKRANI
  16. KOMBESANA

    Majaliwa Ndio Mgombea wa Urais 2025

    Tutaanza kuwaza tukifika daraja la 2025 namna ya kuvuka. Bora tungefikiri tunataka Katiba ipi ituongoze Kama ground norm. Nani wa dini ipi na umri upi ni fikra isiyotosha.
  17. KOMBESANA

    Yaliyojiri matokeo ya Mbunge jimbo la Buyungu na uchaguzi wa madiwani kata 36 Tanzania bara

    MIAKA 100 watatangazana ushindi pasipo kushinda!
Back
Top Bottom