Kwa wale ambao wamekuwa wakifatilia ziara za hivi karibuni za mheshimiwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania watakuwa wamepata nafasi ya kuona baadhi ya Magwanda yaliyovaliwa na Walinzi au kikosi kilichokuwa kikimlinda raisi.Gwanda la kwanza ni raisi alipokuwa Ziara mkoani mwanza katika...
kuna rafiki yangu alienda kutoa pesa katika ATM za Bank fulani baada ya kuandika kiasi mashine ikahesabu halafu haikutoa kiasi chochote cha pesa halafu card ikarudishwa akaenda bank kuulizia akahisi labda kadi yake ina matatizo lakini bank wakamwambia kulikuwa na tatizo hivyo basi pesa yake...
kwa wale wapenda game la fifa siku ya ijumaa game la fifa18 litaanza kupatikana officially katika device tofauti tofauti kama game consoles, pc, phone etc. nini maoni yako baada ya kuangalia demo ya hili game unategemea nini?
WanajamiiForums,
Naomba mwenye soft copy ya kitabu cha uchawi wa Mchungaji Stephano, kilichoandikwa na Irene Mwamfupe Ndauka au Sitoisahau Gamboshi mwandishi Mwita
anisaidie tafadhali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.