Serukamba ajipendekeza kwa zito amwachie Jimbo kwa sababu kigoma mjini hawamtaki kwa kuwalazimisha wampe EL kura wakati anaefaidika na pesa za zakaria za kukwepa kodi ni yeye! Na lengo la pili kuhakikisha EL aningia ikulu ili apate namna ya kurudisha pesa anazopewa na wadhamini wake!
Kama mtakumbuka kipindi mwigamba na mkumbo waondoke CHADEMA chama hiki kimekuwa kama timu iliyoshuka daraja maana walikuwa wataalamu wa sayansi ya siasa
walianzisha oparationi sangara ambayo ilileta wabunge 24 wa majimbo wa chadema 2010 na kura nyingi za uraisi leo hii chadema imekosa mvuto...
Leo kulikuwa na uchaguzi wa nafasi ya naibu meya wa jiji la Arusha ambapo CCM kwa mara nyingine tena imewazawadia CHADEMA nafasi hiyo.
Prospar Msofe ambaye anatuhumiwa kwa muda mrefu kuihujumu halmashauri ya jiji la Arusha kwa kushirikiana na baadhi watumishi pamoja na baadhi ya viongozi wa...
Leo kwenye mkutano Wa hadhara kata ya Unga ltd mwenyekiti uvccm martin Munisi amemwonya Mbowe na chadema kuacha kuendeleza mikwara yao ya kila siku
2010 chadema walisema nchi hii haita tawalika mpaka Leo nchi inatawalika na maandamano ya m4c yaliishia kwa Mbowe na Lema kulamba pesa za m-pesa...
Baada ya NAIBU meya wa Arusha diwani wa kata ya Daraja Mbili CHADEMA na Ephata Nanyaro diwani Wa Levolosi CHADEMA kumpiga mgambo wa jiji na kumdhalilisha vibaya huyo mwanamke sasa wamanza kuhaha kumlaumu kila wanaye mwona
Nanyaro ameenda kwa ndugu na Wazazi wahuyo binti kuwaomba imeshindikana...
Alihamisi iliyopita halmashauri ya wilaya vijana ilikaa kikao Chao cha kawaida kunadili mambo yao ikiwa ni pamoja na agenda ya kamanda wa wilaya hiyo ambaye ni ndugu Karim Mushi kamanda huyo alipewa kusalimia kabla hajamaliza zilisikika sauti za kumkataa kuwa yeye siyo kamanda wao na wao Arusha...
Aliwatoa bungeni wajumbe wa bunge la katiba Leo kawatoa tena wabunge Wa bunge LA bajeti hiii nibaada ya kuombwa na wingereza kufanya hivyo
Chuki za wingereza na Tanzania ni zamuda mrefu Tangu baada ya Uhuru uingereza imekosa mikataba yote mikubwa ya nishati haswa gesi ndiyo maana wamedhamiria...
Ephata Nanyaro mwenyekiti wa chadema Arusha akishirikiana na mkuu wa soko la kilombero Arusha mjini ameshiriki kushusha bendera za Ccm kwenye soko la kilombero
Baada ya dili yao kugundulika mkuu huyo wa soko alishusha bendera za Ccm na kuacha za chadema baada ya zoezi hilo kufanyika juzi nusu...
CCM Arusha Leo wahitimisha ziara ya kutembelea kata zote za Arusha Mjini kukagua ilani ya uchaguzi ambapo pia wamefanya mikutano ya hadhara
Mikutano hiyo iliyoongozwa na MWENYEKITI Wa CCM wilaya DK SOILELI imekuwa namwitikio mkubwa haswa baada ya kupokea wanachama wengi Wa CHADEMA Kama Kata ya...
Diwani wa kata ya daraja mbili ambaye pia ni NAIBU meya Wa jiji la Arusha prosper msofe anatuhumiwa kwa kuhujumu mradi wa maji Wa mtaa wa Ali nyanya na SANARE
Kikao cha odc ya kata kilikaa na kubuni mradi Wa maji ambapo mkurugenzi Wa kiwanda cha sun flag alijitolea bure kuwapa maji wananchi...
Leo CCM wamefanya mkutano Wa hadhara kata ya UNGA LTD pamoja na kufungua mashina ya wakereketwa na kufanya mkutano Wa hadhara uliyo hutubiwa na viongozi Wa wilaya CCM
MWENYEKITI Wa CHADEMA kata ya UNGA LTD amerudi CCM yeye na katibu MWENEZI wake wamezungumza kwa niaba ya wanachaama wengine...
Kwa muda mrefu sasa kumekuwepo na ugomvi wa chini kwa chini ndani ya CHADEMA Arusha Kati ya madiwani wa CHADEMA wao kwa wao na mbunge
Naibu meya wa Arusha Msofe diwani wa kata ya daraja mbili msofe tangu atoke ccm akagombea ubunge na kupata ndani ya CHADEMA hali imekuwa siyo mzuri kwanza...
Kwenye uchaguzi mdogo kata ya sombetini ambao CCM waliwachia uvccm waikimbize CHADEMA jambo lililopelea Lema kulia kila siku kwa kazi mzuri iliyofanywa na CCM haswa vijana wake na ukizingatia CCM haikutoa pesa kama x.
CHADEMA basi kwa mtizamo wangu CCM imeshinda Arusha
Ushauri wangu kwa chama...
Mbunge Lema baada ya kuona dalilizote za kuamzisha fujo hamna sombetini sasa ameamua kuongoza red briged leo usiku kung'oa mashina ya wakereketwa wa uvccm
Lema elewa jambo moja kuwa umeshaa kataliwa Arusha na mgombea Davd moleli siyo wa ccm tuuu vyama vyote vimemuunga mkono kama jana...
Baada ya mwenyekiti wa Chadema kata ya sombetini kuhamia ccm leo kwenye mkutano wahadhara wajumbe wa kamati tendaji wameahidi kimfuata mwenyekiti wa wilaya vijana akihojiwa muda huu radio sun rise
Jumapili mtashuhudia kwa macho yangu kifo cha Chadema Arusha mjini
Madava ameamua kujiunga ccm baada ya maandamano ya juzi kukwama ambapo ulitikea ugomvi mkubwa na ngumi kupigwa
Sitaki tena chama cha wahuni na ukabila Chadema
Lema baada ya kuona mambo yamemshinda aanza mikwara kuitishaa maandamano jumatano Arusha mzima
Akidai kuwa ccm imekuwa ikiwakatakata wana chadema huku sombetini
Ila hii imetokana na kugomewa mikutano kata ya sombetini na dalilizakushinda hazipo kabisa hizi zote zinamfanya Lema achanganyikiwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.