wadau modem yangu niliiflash na kasoftware lakini sasa nashangaa nikiweka lain yeyote ile hata ile xa kampuni inasema Not found sasa sijui nifanyeje wajameni
window 7 proffesional ambayo ime corrupt nataka kuitoa hii na kuweka nyingine kama hiyohiyo but ninapoinstall ikifika pale kwenye kurestart kompyuta inaporestart ikiwaka inaanza upya yani yataka tena nichague lugha na kwenda mbaka pale inaporestart na mtindo ni uleule, sasa sijui nifanyeje...
Laptop yangu huwa inajizima zima yani nikiwasha natumia kama dakika kumi inajizima hata kama ikiwa nimeichomeka chaji mambo yaleyale, mwenye kuelewa tatizo anijuze tafadhari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.