Hapana umekufuru ndugu.
ijumaa kwa mujibu wa Imani ya Kiislam ni siku ambayo Nabii Adam alizaliwa, Quran ilishuka siku ya Ijumaa na inasemekana siku ya hukumu(Qiyama) itakuwa ni siku ya Ijumaa.
Hivyo kutokana na umuhimu huo ndipo ibada ya Ijumaa ikawa na nguvu kwa waumini wa dini ya Uislam...
Inategemea na ukubwa wa vyumba, Mahali itakapojengwa - tambarare au kilimani(itahitaji kufanya leveling au lah), asili ya udongo wa eneo hilo (Mfinyanzi- huwa unatanuka na kusinyaa kuendanana majira ya hali ya hewa au kichanga), Raman yako nyumba ya gorofa au ya kawaida.
kimsingi Raman ndio...
Dah! tafuta connection uhamie sehem yenye mshahara mkubwa ili uweze kufanya maendeleo maana kwa laki 3 unayopata kwa mwezi ni fedha ndogo mno na usilogwe ukakopa Benki ndio life litazidi kuwa gumu.
kumiliki usafir hapo ni changamoto yan hata ki-Ist kwako itakuwa ishu sana.
pia tawanya pesa yako...
MMh! last time mwezi wa 5 wakati narudi kutoka Arusha kuja Dar nimefika maeneo ya Mkoa wa Tanga nafkir ni Korogwe pale kuna makona kona mengi. Ilikuwa yapata sa 4 Usiku niko na Mr halafu mm ndio nilikuwa Nadrive (BMW 320i) Aisee nilikumbana na Mvua Kubwa hatari Weipa nimeseti mpk spid ya...
we nawe LiMin-Bus lanini kutembelea?
aaargh! Tafuta gar ambayo hata ukitoka somewhere parking ipo ya kutosha.
sasa wewew unaenda kazin upo kwenye gar peke yako mgar mrefu kama nini la kazi gan hilo li gari 😱 😱 😱
Dah! Aisee pole sana Ndugu.😱😱😱
msema kwel mpenzi wa Mungu isije ukawa umenasa nakushauri nenda
Kapime UKIMWI maana dalili zako ni za wagonjwa wenye hayo maradhi.
kisha utupe mrejesho
Mimi si Mkamilifu sana ila nasema toka ya Moyoni hao Wasweeden watapata Majanga ya asili mpk wachakae ni suala la muda tuh.
Kudhihaki dini/Imani ya mtu ni jambo baya sana aisee. 😭 😭
Tena nahisi hilo Kasri litapigwa tetemeko/Kimbunga and the likes lote litabomoka na kutatokea vifo vingi sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.