Tunakushukuru sana Goodluck Sipira kwa kumtetea Temu,tunamfahamu sana Elias kuliko wewe ulyekuja karibuni.Temu Yuko Radhi aue Mtu ili apate a achotaka.Kati vitu tutakavyomlaani Kumburu ni kukuajiri wewe Arope wa pili
Tunakushukuru sana Bwana Goodluck Sipira kwa kumtetea Temu.Sisi wafanyakasi tuliokuwepo toka ensi sa Samani tunajua Kumburu ameifanyia mambo masuri sana Bodi ya kahawa,ila Kati vitu tutavyomlaani ni kukuajiri wewe Arope wa pili,wewe ni mjinga unayekunywa pombe muda wa Kasi.Temu Yuko Radhi...
Tuna ushahidi wa kutosha kuhusu hili.Elias Temu amepata hasira baada ya kuletewa Mtu mwenye degree Kwenye kitengo chake.Elimu ya Temu ni ya kidato cha nne,failure.Baada Temu kuletewa huyo mtumishi tena wa muda aliangua Kilimo na kuzunguka Kwenye makorido ya Bodi ya kahawa akilalalamika.Hasira...
Elias Temu sisi wafanyakasi wa Bodi ya kahawa tumechoka na majungu na majungu na maslahi yako binafsi .Tumekufukusa Kwenye SACCOS,sasa tutafukusa Kwenye uenyekiti wa TPAWU
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.