Jamani kwa wale tuliofanya application ya kazi kwenye shirika la TPDC mwezi wa sita mwaka 2015.
Vipi wameishatoa majina ya watu wa kufanya usaili? na kama wametoa ni lini walitoa? nisaidieni jamani maana napenda kufanya kazi na hilishirika.
Kweli kabisa. sasa katika hali hiyo unamuomba Mungu afanyeje. Kimsingi Mungu alishajibu sala zako kwa kukuonesha vituko vya huyo mume wako, toka humo kimbia sana find happiness somewhere else.
Halafu figganigga hana hata habari. Cheki alivyomjibu kiupole hasa hapo nilipoweka rangi. Mia.
it means to keep yourself real and true, to be honest and stick to the way you are, no matter what any one else thinks.
You don't have to like my decision. I'm gonna keep it 100 and do what I...
The! The! The! Hapo kwenye rangi, hapo huwa ana mawaziri wake hao, eti, eti, huwa wanakamsemo kao kwamba, eti hawahesabu matusi, bali wanahesabu mahela.
Unamhurumia kwa ajili ameacha haya niliyoyawekea rangi?: mie kifua chake tu wallah! Zile packs ni noumerrrrrrrrrr!! Lets call a spade a spade! Inavyoonyesha na yeye anajihurumia na inavyoonyesha anataka watu wamhurumie ndo maana akatoa ile post kuleee, kama vipi mi naona ampotezee tu jamaa, ila...
Chezeya kuachwa weye!!!!! Kuna dada anakuaga na ki-blog uchwara sijui kinaitwajwe vile, yeye alithubutu kujidhalilisha kabisa kwa kusema X wake alikuwa na govi na akawa anamwita govinda!!!!! Sijui kama kuna watu hapa jamvini waliisoma hiyo seke, seke.
Nimechekaje? Kwa hiyo kama ni handsome huwa unamhurumia, sasa inaonekana yeye anataka kukuganda, sijui anapitiaga huku ili akome kukuganda, au umtumieko ka-ujumbe kwenye simu yake.
Ni kweli kabisa MC. Tilly Chizenga. Mke wako anajua kuvaa sana tu, tena sio kuvaa tu! Kuvaa kuendena na matukio, kuna harusi ya Innocent Shio mlisimamia, japo mkeo alikuwa mja mzito, lakini alionekana kama mja mwepesi kutokana na alivyokuwa amependeza. Ofisini kwao wanakuaga na kale kasare kao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.