Wote wanakimbilia kwenye siasa kwani huko ndio kunalipa zaidi. Kila mtu anataka kuwa na maisha mazuri.
Hapa serikali isikwepe majukumu, dawa ni kuboresha mazingira ya kazi na maslahi kwa ujumla. Kwa nini wanasiasa peke yao ndio wafaidi keki ya taifa wakati watu wote wanachangia???
Nakubaliana na wewe Mfamaji, kama ni kweli wameongeza basi hawa CCM na viongozi wake wanatoa rushwa kwa wafanyakazi. TAKUKURU mko wapi, mnaangalia watu wanatoa rushwa wazi wazi, tafadhali Dr. Hosea na timu yako tunawaomba mchunguze hili kwani hii ni rushwa kwa sababu mkuu wa kaya alishakataa...
.....unajua watu wengi hawajajua,
huwezi kuzuia mvua, Dr. Slaa ni kama mvua,
Ikiamua kunyesha inanyesha......
Dr.Slaa moto chini, ni moto chini
aha aha ahaaaaaa
Patriot kasahau kwamba Dr. Slaa ni mvua iitawaloanisha wote akiwapo yeye!!
Verses from song sugu moto chini-edited
Kinyanganyiro cha kuwania ubunge kinachoendelea ndani ya CCM kimeibua mengi yakiwapo rushwa iliyokithiri pamoja na watoto wa vigogo kuamua kuwafuata wazazi wao ndani ya uongozi.
Kuna idadi kubwa safari hii ya watoto wa viongozi wa juu wa serikali na chama hicho ambao wameamua kugombea...
Mkuu, unavyosema ni sahihi kabisa, katika taarifa mbalimbali za habari, unakuta habari za CCM ni mpaka 3 na tena zinaelezewa kwa kirefu, lakini cha kushangaza habari za vyama vingine, mfano katika taarifa hiyo ya habari kulikuwa na habari za CHADEMA esp mkutano wa Raisi wa awamu ya 5 Mh. Dr. W...
China has overtaken the United States as the world's biggest producer of greenhouse gases and biggest energy consumer.
But the country is also thinking in big and bold ways when it comes to how it will reduce pollution and a new plan to build a "straddling bus" is among the...
Hivi hii inayojiita luninga ya Taifa TBC mbona haituonyeshi raisi wetu ajaye Mh. Dkt. W.P. Slaa anavyoendelea na ziara ya kutafuta wadhamini wakati wanatoa mpaka dakika 15 au nusu ya habari za ndani ya nchi kuzungumzia mambo ya Chama Cha Mafisadi ( CCM ) tu!!!
Kwa kweli mimi wananiudhi sana...
yes,inaonekana kama ni planned assasination.polisi tafadhali fanyeni uchunguzi.
isije ikawa ni mafisadi,maana wana mtandao mkubwa na wako tayari hata kutoa uhai wa binadam.
MUNGU AILAZE ROHO YA PROF.MWAIKUSA MAHALI PEMA PEPONI.
haki haitapotea kamwe!
Habari nilizozipata zinasema Prof. Mwaikusa Mwalimu wa Sheria na Mwanasheria aliyebobea wa Chuo Kikuu cha DSM amefariki dunia baada ya kuvamiwa na watu wanaosemekana kuwa ni majambazi alipokuwa akirejea nyumbani kwake usiku wa kuamkia leo.
Prof. Mwaikusa pia alikuwa rafiki wa mahakama ambaye...
Aaaah, kumbe wewe PELE hujaona JK kaalikwa kwenye sendoff ya huyo Marylin, thats y kampigia debe sana ili ahudhurie hiyo send off yake.
JK akimlisha keki Marilyn Mashiba kwenye mnuso wa send off
Serikali yatelekeza mgodi wa Kiwira
Katika taarifa ya habari ya Shirika la Utangazaji Tanzania ( TBC) ya jana usiku imeonesha kwamba Serikali imeutelekeza mgodi mkuu wa makaa ya mawe wa Kiwira uliopo mkoani Mbeya, baada ya mgodi huo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.