Mtoa Mada QUININE....nikupongezee kwa mada hii ambayo wenye Akili kubwa tutaendelea kuichagia hapa...ila nikwambie tu kwamba kupitia uzi huu utafanikiwa kuelewa/kufahamu uwezo wa Akili wa Watanzania wenzetu waliopo katika mtandao huu.
Siku nyingine inabidi wapigane kabsa......Tanzania ni Zanzibar na Tanganyika....nafikiri na wewe ulikuwa machimboni baada ya kufukiwa na kifusi ukaokolewa na kuja kuanzisha thread Hapa JF. THINK BIG
I can see him 2020....nilidhani ingekuwa mwaka huu ila kura millioni 6 zimemfanya yeye kuwa na mtaji mkubwa 2020.....Mama Anna Makinda alimuheshimu sana mh.TUNDU Lissu katika lile vuguvugu la ESCROW maana hata huyo Mwanasheria wa sasa hakuwa na uwezo wa kutafsiri kama Lissu alivyofanya.
-Kule kenya wabunge hupigana ngumi bungeni.
-Na kuna mabunge mengine wawakilishi hutoleana Bastola na kutishiana Amani.
NB:Mi naona UKAWA ni wa pole na wastaarabu sana....Na Zitto K ni mwanaharakati Vuguvugu.....Magufuli alikosea sana kuwaita ni UKAWA ni watoto,labda kama Serikali yake itakuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.