ilikuwa mwaka 2004 natoka Mwanza na bus la Scandinavia kupanda ndege Jomokenyatta aiport kupitia London hadi Chicago(USA) na kurudi baada ya mwezi. Tiketi yangu iliandikwa kuondoka (Jumapili usiku saa sita na dak 5 usiku) .
Nilopofika Jumapili saa 4 usiku uwanjani walipoingiza kwenye mashine...
Huyu baba kheri ya kuendelea kumuomba Mungu ili 'tezi dume' limuongezee makali ya maumivu kama walivyo waathirika wengi wa kukoswa dawa kwenye zahanati nyingi nchini
Rosemarie. Chenge, alikwenda HARVARD kozi ya majira ya 'kiangazi'summer school si mtajwa katika orodha ya waliosoma kama ambayo waziri mkuu mstaafu Sumaye alikaa bweni ambalo hata leo lipo linaonekana.Kozi za Chenge ni za wiki fupi sana.
Mzee Mwanakijiji na PASCO nyie kumbe mnatumika na haiba yenu imeonekana wazi..... si dhani kama mbeleni kutakuwa na joja toka kwako ikawa na mashiko...
Hee! huyu bwana kalipwa kiasi gani?
... jana alisema taarifa haitasomwa ikasomwa, miaka ya 2007/10 nikiwa huku nnje ya Tanzania nilizependa sana 'articles' zako, kumbe sikukuelewa ulivyo ....uhitaji ni tatizo na shida kubwa ktk utu wa mtu ..
Muhongo yego kutiki?
Ulijua Ndg Mengi ni Mfanya Biashara na dalali wa kujitegemea….
Sasa wewe kwanini ndg yangu ulianza udalali wa serikali tena….?
roho yako ilikushuhudia haya hapakuwa na sababu za kuwashambilia watu… …
Mwanakijiji
Muda mwingi nikiwa nje ya nchi nilizipenda sana mada zako tangu 2009.
Zilikuwa za maan swala lisiongelewe, .Naungana na wengine hapo kukuomba ukae kimya.....maana Mahakama si kivuri cha kificha maovu, ukizingatia kuwa miongoni mwao kuna watuhumiwa pia...tafadhali endelea kutulia...
Mtoa mada hii aitwaye 'Blackand white2061' ameitoa hii kwa jazba kubwa
Kwanza ameingia humu jamvini leo 2-1-2013 na ameisha -post doc 3 tangu siku ya leo.
Pengine inaonyesha yeye ni mmoja ya watu walioathirika baada ya tafiti za awali kuto kubaliana na matakwa halisi ya ukodishaji wa majengo...
\
Mkuu mbona hi shadada uliyo isema hapa siyo Masters Law, je, hii inatolewa na chuo gani huko ulipo?
"Nina masters ya Law ( LLB) na natarajia kujiunga na JWTZ mwakani.
\
Dada ,
Kama alivyoshauri King'asti, muda huponya majeraha!
Tena usikumbuke matatizo yaliyopita kwa sababu yanaumiza. Tazama mbele kwa kujiamani na ishi kwa matumiani kwamba Mungu atakufungulia mlango kesho.
Misukosuko ni sehemu ya maisha na ndiyo hatua ya kuvuka ili kufanikiwa na usikate tamaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.