Tanzania ina miliki viongozi wenye utindio wa ubongo kuna haja sasa tunapowachagua viongozi wa kisiasa daktari kushilikishwa kwa vipimo zaidi uwezi toa taarifa yenye ukweli sahihi bila kuwasiliana kama viongozi walisema ajira january kwa mujibu kassim majaliwa akaja rais wa nchi jk akasema...
i would like to use this chance to hate the goverment of Tanzania kwa kutokuwa na akili ya kufikili leo unasema posho ya each mjumbe laki 3 while walimu payment zao per month ni laki tatu while mjumbe ni per day ni nchi gani hii tanzania yenye viongozi wenye akili butu walimu wapo mitaani...
ajira tutawapa vijana ila mkifika uko mkafundishe si vema mkaenda kuwa vinara wa migomo hii ni nchi pesa za bajeti yenu tulikopesha wiki ijayo wataturudishia ndio nitawapanga kazi vijana ccm oyeeeeeeeee!!
we2 upo ------ sana uwezi potosha umma ujui ni kwa kiasi gani umefanya watu wawadanganye wazee wao juu ya ajira za walimu hizo Tanzania uongo mumeweka ndo posho mana viongozi ni waongo raia waongo we2 na waziri wako wa tamisemi majaliwa mumeweka walimu wa kuwachezea waziri amedanganya umma na...
ajira za walimu nchini imekuwa gumzo sana serikali awashirikiani raisi anasema mwanzoni mwaka 2014 mlugo alisema kuanzia februally/march 2014 kasim majaliwa alisema january 2014 sasa awa awawasiliani a goverment must communicate
napenda kutumia nafasi kulani vikali baadhi ya vitendo vinavyo fanywa na baadhi ya viongozi wa chadema kukiujumu chama kinachopendwa na watanzania wenye nia njema na nchi yao ya Tanzania viongozi hao ambao hufanya mambo yenye tija kwao na si kwa taifa na chama ni kwa mda mrefu sasa imani kubwa...
Ualimu ni kazi ya kitaaluma kwani anayeenda sifa zimezingatiwa ukisema walimu ni watu walio feli unakuwa unawatukana pasipo kufikili viongozi wengi enzi za nyerere walikuwa ni walimu na ndio walio ifikisha nchi hapa wakina mwalimu julias kambarage nyerere na bado walimu wanaendelea kuwaanda...
Awali napenda kutumia nafasi hii kuweza kumshukuru mwenyezi mungu kwa kutujalia afya tele baada ya kufanya aya machache ningependa kuchukua nafasi kuelezea dhana potofu iliyojengeka miongoni mwa tanzania juu ya swala la mtu aitwapo mwalimu au yule anayesomea kuwa ni mwalimu kutazamwa ni mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.