Wale wanaohitaji dagaa wa Bukoba wasio na mchanga tayari wamewasili,wanapatikana eneo la taliani Kama unaelekea chanika bei yetu ni shilling 7500/= kwa kilo.
Karibuni Sana
Hahah hufiki Chanika kaka sema Ni njia ya kuelekea huko lakni pia Chanika sio ya miaka ile.... Ila tuwasiliane ili mzigo tuone tunafanyaje takupunguzia hata bei kufidia usafiri... Karibu Sana kaka Mzigo Jumatano itakua imefika, Tayar na oda mbalimbali nakaribisha oda yako pia
Pata Dagaa safi na wasio na mchanga toka bukoba,Tunapatika kituo cha Taliani Kama unaelekea Chanika Jijini Dar es salaam.... Bei ya kilo moja ni shilling 8000/= kwa mawasiliano zaidi piga namba 0713847985 au 0769308154...!Karibuni Sana..!
Habari ya majukumu wanaJF haya sasa wale dagaa safi toka bukoba wasio na mchanga watawasili wiki hii kabla ya ijumaa, napokea oda zenu kupitia namba zifuatazo 769308154,0713847985 tunapatikana eneo la taliani njia ya kwenda Chanika Jijini Dar es salaam,Bei ya kilo Ni 8000/=
Habari Wana JF.
Nimefungua store ya kuuzaa dagaa Jijini Dar es salaam katika eneo la taliani kama unaelekea chanika.
Dagaa hawa ni wazuri weupe na hawana mchanga, natarajia kuingiza mzigo hv karibuni!!
Kama unahitaji mawasiliano zaidi nitafute 0769308154 au 0713847985 tuzungumze.
Habari Wana JF.
Nimefungua store ya kuuzaa dagaa Jijini Dar es salaam katika eneo la taliani kama unaelekea chanika.
Dagaa hawa ni wazuri weupe na hawana mchanga, natarajia kuingiza mzigo hv karibuni!!
kama unahitaji mawasiliano zaidi nitafute 0769308154 au 0713847985 tuzungumze.
Habari za majukumu wana Jamvi.
Naomba niulize kwa mwenye kufahamu jinsi ya kuwasiliana na wakala anaetambulika na DSE yaani Dar es Salaam Stock exchange kwa jinsi ya namna ya kununua hisa.
Asanteni!
Mimi Mwalimu Almas Rwamiye wa kituo cha kazi Mfuru Secondary iliyopo Wilaya ya Kisarawe Mkoa wa Pwani naomba kubadilishana kituo na Mwalimu yoyote wa secondary kutoka wilaya ya Ilala Dar es Salaam na Manispaa ya Morogoro Mjini kwa mawasiliano zaidi tuwasiline kwa namba zangu...
Kutoka nje ya ndoa ni dhambi kubwa bado unataka ushauriwe dhambi nyingine ili nasi tuwemo katika kuchangia kuachana na mmeo la hasha hatutofanya hivyo....... Chamsingi usiwe mkimya mwambie mmeo ila kitachomshtua wewe umeijuaje atahisi umemsaliti..... Hakika kama ungejua dhambi ya kuzini wakati...
Mimi Mwalimu Almas Rwamiye wa kituo cha kazi Mfuru Secondary iliyopo Wilaya ya Kisarawe Mkoa wa Pwani naomba kubadilishana kituo na Mwalimu yoyote wa secondary kutoka wilaya za Morogoro Mjini, Morogoro vijijini au Mvomero za Mkoa wa Morogoro. Kwa mawasiliano zaidi tuwasiline kwa namba zangu...
Mimi Mwalimu. Almas Rwamiye wa kituo cha kazi Mfuru Secondary iliyopo Wilaya ya Kisarawe Mkoa wa Pwani naomba kubadilishana kituo na Mwalimu yoyote wa secondary kutoka wilaya za Morogoro Mjini, Morogoro vijijini au Mvomero za Mkoa wa Morogoro. .... Naomba tuwasiline kupitia...
nadhani muda wowote kuanzia leo majibu yatatoka muwe na subra kwani baada yakutoka inawezekana mkaondoka pamoja na wakaguzi wasaidizi ktk shule ya polisi Moshi....Ukiona kmya jua neema inakarbia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.