Search results

  1. C

    Shairi - kisima nimekiacha

    Waungwana hatutusi: Waungwana hatutisi, sikia Jitu Bandia Twaongea kwa wepesi, na pia twaitikia Na maneno ni vipisi, kichwani humalizia Sikia Jitu Bandia, waungwana hatutussi! Haja yake ni kisima, kwa kina kaelezea Matusi hajayasema, wakati aelezea Usongo wake kisima, malenga kaongelea...
  2. C

    SHAIRI: Kipini cha Pini

    Ugonjwa wake Vipini!! Ninaazia salamu, kujibu bin fulani Kaelezea ugumu, avionapo vipini anaipata na hamu, na kuihisi mwilini Ugonjwa wake vipini, kwa wanakwake puani! Kwa ari kaelezea, kwake huo mtihani Ashindwa kujizuwia, avionapo puani Ashiki yampandia, avurugikwa kichawni! Ugonjwa wake...
  3. C

    Prof. Lipumba: Ukiona Chama cha Upinzani kinamualika Mwenyekiti wa CCM kwenye vikao vyake ujue hao siyo Wapinzani tena!

    Kitu ambacho Wa Tz hatujakielewa ni kuwa tangu upinzani uanzishwe Tanzania na chama tawala (CCM), Tanzania hatujawahi kuwa na upinzani! Vyama vingi vimeanzishwa lakini viongozi wao wana njaa na wakichekewa tu na utawala wanalainika!! Katika huu mfumo wa vyama vingi wanaoumia ni raia wa...
  4. C

    Shairi: Sina kosa

    Hatari Kubwa! Nimekumbuka utunzi, akiimba Marijani Nilikuwa si mjuzi, kuuelewa kichwani Akimkanya mzinzi, mke wa wake jirani! Aliimba Marijani, sawa kucheza na moto! Sawa kucheza na moto, na miye nafikiria Kukumbuka ya utoto, wakati unavizia? Utapata mkong'oto, huruma nakuonea Aliimba...
  5. C

    Kuchuma najitajidi sina bahati mwenzenu

    Pole nasema pokea, kujihisi masikini Mungu ndiye ajalia, zaidi ya milioni kichwani nafikiria, hujitazami mwilini Wajihisi masikini, wekati wewe tajiri? Utajiri si mapesa, wala magari ya ghali Utajiri si kutesa, kwa hali pia na mali Utajiri ni hamasa, afyayo ya kimwili Wajihisi masikini, wakati...
  6. C

    SHAIRI: Jibu la Bi Khadija Kopa 'Jimbo liko wazi tangu Mume wangu afariki, Mjumbe akija lazima awe na Umri Mkubwa'

    "Penye nia" Penye nia kuna njia, welishasema zamani Msemo nakumbukia, na yake pia thamani Usjeikata tamaa, utajafika nyumbani Penye nia pana njia, walishasema wahenga. Fikisha wako ujumbe, ajuwe yalo moyoni Pitia hata kwa jumbe, wake hapo mtaani wajuwe nawe ni jembe, hunao pia utani Penye...
  7. C

    Zitto Kabwe: Mahakama imetoa uamuzi kuwa Rais John Magufuli alivunja Katiba alipomuondoa Prof. Mussa Assad kama CAG

    Impact itakuwepo, kwani baada ya hapo ina maanish Profesa atadai fidia, na pesa zote alizokosa alipotenguliwa kwenye nafasi hiyo. mfano mishara yake na marupurupu yake yote! Hapo mlipaji ni Serikali - kwa kifupi walipaji ni Wa tanzania walipa kodi wote!
  8. C

    Mwenziyo unanikosha!

    Mpendwa, Ilikuwa Aprili, tarehe naikumbuka Kukujuza sina hali, kwako weye nimefika Nikaomba ufadhili, kwa dhati nikatamka Ilikuwa Aprili, ningali ninakumbuka! Kwa kina nilikujuza, kwako weye nimefika Na tena sikujikuza, kwa dhati niliandika Na lugha nikaiuza, kutaka kueleweka Ilikuwa...
  9. C

    Rais Samia aagiza askari wenye vitambi kurejeshwa mafunzoni

    Safi. Ni aibu askari mzima kitambi utadhania wana mimba! Ndiyo maand hata youle Hamza aliweza kuwanyang'anya bunduki na kuwaua kirahisi. Askari wanatakiwa wawe wakakamavu.
  10. C

    Mwenziyo unanikosha!

    Mpendwa mwana Fulani, Kumbuka kuna korona; Nanianzia salamu, binti mwana Fulani Ingawa nina ugumu, ungali mwangu moyoni Kwangu weye ni muhimu, hujatoka akilini Kumbuka kuna korona, utulizane nyumbani Kipindi hichi kigumu, tulia mwana fulani Utoke kama muhimu, vinginevyo kaa ndani...
  11. C

    Ushairi: Ngoma yaanza Kudunda

    Kongole wetu Malenga; Kongole wetu malenga, utunzi wako mahiri Ukweli umeulonga, na fumbo hilo la siri Wengine wamejigonga, watazama editori Ngoma sasa inadunda, twahitaji wetu manju Kongole hii ni yako, ipokee mikononi Heko nyingi ni za kwako, kwa kubakia fanini Ninalitoa tamko, fumbo...
  12. C

    Mwenziyo unanikosha!

    Mpendwa Yakuonea (Mtani), Kwako weye penzi tata, kwangu miye nimependa Nahisia hujapata, ambaye unampenda Kwangu miye siyo tata, mtani nimeshapenda Kwako weye penzi tata, kwangu miye nimependa! Mtani unanihoji, mapenzi hujajulia? Sihataji hata jaji, mpenzi kumjulia Kupenda kama kipaji...
  13. C

    Kisa cha Mzuka Bungeni

    Karibu mkuu.
  14. C

    Kisa cha kofia Bungeni

    Kisa cha kofia bungeni 1 Kisa cha sasa kofia, kimetokea bungeni Na hoja aliitoa, akilalama bungeni Kwa kina kaelezea, kadharauliwa juweni Kisa cha kweli kofia, kimetokea bungeni! 2 Kakasirika jamaa, kajieleza bungeni Heshima kamvunjia, hajaelewa kwanini? Ni vipi amemvua, baraghashia...
  15. C

    BBC Swahili ni waharibifu wa kiswahili

    Hapa tusilaumu mtu, wa kulaumiwa watu wajua kiswahili na pia wataalam wa Kiswahili kwani makosa kama haya hawayakosoi. Wanakaa kimyaa tu. Pia kuna tatizo kubwa kwa Watanzania kutotaka kujituma na kuomba kazi sehemu kama BBC na kazi nyingi za kimataifa. Mnajua majirani zetu wanajituma sana na...
  16. C

    Kisa cha Mzuka Bungeni

    Kisa cha kweli mzuka! 1 Kisa cha kweli mzuka, ulipotajwa bungeni Ilikuwa heka heka, ninawajuza juweni Walihamaki mzuka, u wapi hapa bungeni? Ni mtihani mzuka, unapotajwa bungeni! 2 Aliposema mzuka, nawajulisha bungeni Siyo uzushi mzuka...
  17. C

    Mkapa: Najuta

    Nadhani anafikiria kuwa hatutakumbuka yaliyotokea, au aloyafanya! Nakumbuka kipindi hicho kils kitu kiliuzwa bei karibu na bure. Je twaweza kuvirudisha? Baada ya hopo ndiyo nilijitoa katika kuchangia siasa humu jamii kwani nilikuwa sielewi watu bado walikuwa wanamtetea ati analeta maendeleo...
  18. C

    KUFUNGA SIFUNGI, DAKU NITAKULA.

    Mpende hivyo alivyo Kupenda kweli upofu, mpende hivyo alivyo Na tena ni usumbufu, nasema ujuwe hivyo Mpende bila ya hofu, mpende ndivyo alivyo Kupenda kama upofu, mpende hivyo alivyo Ni mke na siyo jike, naomba unielewe Ala vyako pia vyake, mnapendana wenyewe Chakula chako ni chake...
  19. C

    Ikulu kuwe nyumbani

    Ikulu siyo nyumbani; Namtafuta tabibu, mwenye kupiga ramli Awezaye kunitibu, na kunijibu maswali Anipe pia sababu, zenye uzito kamili Namtafuta tabibu, anayejua ramli Mganga au tabibu, na pia mnyenye tunguli Nijuwe yalo nisibu, nikashindwa mara mbili Nikaupata ububu, kuvurugikwa akili...
  20. C

    Ikulu kuwe nyumbani

    Nawajulisha bungeni, na ninyi wa humu ndani Kinyag'nyiro nchini, na mimi nimo kwa ndani Ninazunguka nchini, mijini na vijijini Na mimi nimo kwa ndani, kinyang'anyiro nchini Na mimi nimo njiani, Ikulu kuwe nyumbani Nishaanza kampeni, nawajulisha juweni Tena sifanyi utani, dhamira ipo moyoni...
Back
Top Bottom