Ni upimbi kama kwetu.wasotaji ni wengi,wapigaji na wanaofaidi nchi ni wachache.na hao wasotaji wengi kazi yao kusifu na kushangilia tu hata kiongozi akitema pumba.
Mkuu nadhani umesikia hata kwa viongozi wetu wakubwa malalamiko ya wawekezaji waliobahatika kununua viwanda na mashamba makubwa ya umma,kuchukua mikopo na kuacha kuendeleza viwanda na mashamba hayo.ajira nyingi zimepotea kwa sababu hiyo.pia kuna wawekezaji makanjanja.badala ya kufungua viwanda...
Ndugu yako hajamuona mwanamke huyo hata siku moja na hamfahamu.hapo hapo unasema mwanamke ana nyumba na gari zuri na anajiweza.stori hii imekaa kama tafsiri ya ndoto.
Mwambie mumeo aende wilaya ya handeni mkoa wa tanga.kuna mti unaitwa mnkambi au ufyambo.akitafuna mizizi ya miti hiyo,rungu lake litasimama masaa 24.nadhani hapo atakushughulikia mpaka kiherehere kikutoke.
Waliofanikiwa mipigo ya aina ya eskroo nk wamefukia pesa zao kwa kumuogopa magu.na wale waliotegemea kupiga awamu ya tano wamekwama.kwahiyo mzunguuko wa fedha ni ule wa kihalali ambao hauruhusu matumizi ya kumwaga.
Ni kweli.mwanamke anakua bwege kwa mwanamme kwa vile anahitaji rungu ambalo hawezi kua nalo mwilini mwake.na halikadhalika mwanamme anakua lofa kwa mwanamke kwa vile anahitaji papuchi ya mwanamke ambayo yeye mwanamme hana mwilini mwake.kutegemeana huku ndio kunaleta ubwege na ulofa.
Mkuu kwanza fanya utafiti kujua kama mdogo wako ameshaanza kushindiliwa rungu la tigo au yeye anawashindiliwa rungu au anafanya vyote au hajafanya vyote.ukishajua hayo tupe mrejesho ili tujue jinsi ya kukushauri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.