Search results

  1. bidam90

    Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    PURA pia sio pabaya sana ila mwanzoni wakati inaanzishwa ndo ilikuwa vizuri zaidi sababu walikuwa wachache na ndo walikuwa wanaandaa miongozo so safari zilikuwa nyingi. Bado wanaendelea kutafuta vyanzo vipya vya kuingiza pesa ukiachana na tozo tu za kampuni zinazozalisha gesi Lindi na...
  2. bidam90

    Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    EWURA pazuri zaidi mkuu.Mishahara yao ipo juu bado posho kama zote na safari hasa inspectors. TPDC mishahara yao haizidi 2m kwa officers. Uzuri pekee wa TPDC ni kuwajali staff wake kwa kuwasomesha nje ya nchi. Ukumbuke pia EWURA mamlaka haizalishi bali inakusanya tu na kukata 1% kwenye...
  3. bidam90

    Faida na hasara za kutumia gesi kwenye gari lilitongenezwa kutumia petrol

    Mkuu mitungi ya hivi wanaita toroid au donut shape.Hii inatumika zaidi kuweka Liquefied petroleum gas(LPG) kama ile mitungi tunayotumia majumbani kupikia. Ni technolojia mpya bado kwa Tanzania ndo inaanza kuingia kutumia gesi tunayotumia majumbani kama taifa gas,oryx etc. kwenye magari.Bado...
  4. bidam90

    Uzi Maalum wa Uhamisho wa watumishi kubadilishana kituo cha kazi

    Pole sana mkuu. Hii comment ya kuhitaji replacement ni common sana kwa maboss siku hizi kwenye barua unazopitisha kwao kuhama. Lengo lao ni kukuzuia usiondoke. Ni changamoto kwakweli. Jaribu kwenda kuongea na boss wako idarani hapo umueleze lengo la kutaka kuhama kama hukufanya hivyo...
  5. bidam90

    Uzi Maalum wa Uhamisho wa watumishi kubadilishana kituo cha kazi

    umejaribu kuomba nafasi mkuu kwenye taasisi unakotaka kwenda?Kama wana nafasi sidhan kama kuna ulazima wa kutafuta wa kubadilishana nae.Uhamisho wa kubadilishana vituo vya kazi upo sana sana TAMISEMI.
  6. bidam90

    Fuels Economy family car

    Uamuzi mzuri.Honda crossroad ni bora mkuu.Nnayo mwaka sasa ni moja ya family car nzuri na bei yake nafuu.Ulaji wa mafuta mzuri na ipo stable barabaran.
  7. bidam90

    Mwenye kuifahamu Honda Crossroad

    Group lipo kitambo mkuu!Kuna members kama 40 mpaka sasa!Ntumie namba yako nikuadd
  8. bidam90

    Mwenye kuifahamu Honda Crossroad

    Yangu inanipa 10-13 km/l mjini.Foleni ikiwa kubwa sana inashuka 9-11km/l. Highway mpaka 15 km/l inafika kutegemeana na ukanyagaji wako wa mafuta.
  9. bidam90

    Mwenye kuifahamu Honda Crossroad

    Kabisa mkuu!Ina eco mode kubana mafuta hasa ukitembea na constant speed na RPM below 3.Highway ndo utaifaidi sana hii gari ukiendesha.
  10. bidam90

    Mwenye kuifahamu Honda Crossroad

    Sio kweli mkuu.Hii gari unaanza kuihisi nyepesi ukifika speed 140 labda ila chini ya hapo unaweza jiona unaendesha speed ya kawaida kumbe upo speed balaa😀 sababu huhisi kabisa kupepesuka. Spea bei yake zipo juu ila ila sio sana kiivyo hazitofautiani na subaru au Nissan.Kila naempa hii gari...
  11. bidam90

    Mwenye kuifahamu Honda Crossroad

    Mkuu gari ipo poa tu kwakwel!Na enjoy kuwa nayo na wala sijutii kuinunua.Gari ngumu,muonekano mzuri na ulaji mzuri wa mafuta.
  12. bidam90

    Hivi mtu anaweza kumwaga rough floor pasipo kuezeka?

    Unaweza kutengeneza rough floor mkuu bila ya kuezeka.Nilifanya hivi pia wakati nasubiri bati zangu niloagiza kutoka China.Changamoto kubwa ikikaa mda mrefu sana na jua likiwa kali sana inapasuka. Japo haina shida sana ikipasuka kwan utakuja weka tiles baadae.
  13. bidam90

    Mwenye kuifahamu Honda Crossroad

    Gari inategemeana na cc. Honda crossroad kuna ya cc 1800 na 2000 cc.Ulaji wa mafuta hautofautiani sana.Yangu ya cc 1800 mjini inanipa 11-13km/l.Ulaji wa kawaida sana mkuu.Kuhusu kuingiliana na spare sina uhakika zaidi.Tangu niwe nayo nimebadili tu oil filter tu ambayo unaweza weka ya kampuni...
  14. bidam90

    Mwenye kuifahamu Honda Crossroad

    Honda wana gari ngumu sana na ni reliable!Nnayo Honda crossroad ni mwezi wa 6 sasa tangu niiagizie kutoka Japan.Sijaona tatizo lolote mpaka sasa hasa kwenye engine. Nimefanya tu service ya kawaida labda na kubadili zile bush chini sababu ya barabara zetu za kibongo.Ulaji wa mafuta ni mzuri tu...
  15. bidam90

    Je, inawezekana kuomba uhamisho kabla ya kuthibitishwa kazini?

    Mpaka uthibitishwe kazini ndo unaweza kuomba uhamisho.Sababu ukipata nafasi unapotaka kuhamia lazima utaambatanisha barua ulojibiwa kuna nafasi,vyeti pamoja na barua ya kuthibitishwa kazini ulipo sasa kwenda kwa katibu mkuu utumishi. Bila hivyo ni vigumu labda kama una mtu mkubwa na connection...
  16. bidam90

    Kuomba ajira kwa aliyeajiriwa bila kupitisha kwa mwajiri inawezekana kuitwa interview?

    Ni vigumu kukuita kwenye interview bila ya barua yako kupitishwa na mwajiri wako wa sasa.Bora angepitisha kwa kucomment chochote na kugonga muhuri. Nashauri useme hujaajiriwa popote kwenye barua.Ila hata ukifaulu usaili wao watakuja kukukamata wakati wanapeleka majina utumishi sababu tayari una...
  17. bidam90

    Je, naweza kufundisha chuo? Undergraduate nina GPA 3.1, Post graduate GPA 4.1, Masters GPA 4.0

    N Mkuu hebu rudi kusoma post yangu!Nimesema kwa Tanzania bado sana sababu vyuo vyetu havifanyi tafiti wala kushirkiana na kampuni au taasis nyengine.Ndo mana unakuta walimu hawana uzoefu zaidi ya theory tu na kuchapisha vitu visivyo na impact kwa jamii
  18. bidam90

    Amechaguliwa MD UDOM na UDSM aende chuo gani?

    Namshauri aende UDOM!UDSM kwa kozi ya MD bado sana wanaendelea kujiimarisha ndo mana mwaka juzi walifungiwa na TCU kozi ya MD!UDOM wana mda sasa wanatoa hio kozi na uzuri wana hospitali kubwa sana ya Benjamin mkapa pamoja na za mikoani wanapopeleka wanafunzi wao kusoma kwa vitendo.
  19. bidam90

    Kuwa na six pack sio mbinu ya kumfikisha mwanamke kileleni, mapenzi ni sayansi

    Kwenda gym kubeba chuma au kufanya mazoezi ni kwa faida ya afya yako sio umfanyie mtu!though yanasaidia sana kwa wanaume kuwa na nguvu za kutosha kumridhisha mwanamke kitu ambacho ni sifa ya kuitwa mwanaume!pete tu na pesa havimtoshelezi mwanamke
Back
Top Bottom