Habari wana MMU,
Napenda kuona mawazo yenu juu ya hili.
Wasichana kuchelewa kutoa jibu la kuingia katika mahusiano ni kutaka kulifanyia kazi ombi hilo kabla ya uamzi au wanatimiza matakwa ya tamaduni za Kiafrika?
Karibuni katika mjadala huu
[emoji13] [emoji13]
Ulimwenguni hapa ni vizuri kujifunza na tunajifunza kwa kiasi kikubwa kutokana na mawazo ya watu wengine kwaiyo sioni ubaya pia kujifunza juu ya suala hilo kutok kwa hao waadishi.
Habarini marafiki,
Naomba mwenye makala nzuri yenye ushauri juu ya mtu kuachwa na mpenzi wake ama inayozungumzia suala la mahusiano kwa ujumla anitumie tafadhari.
Asante
Habari!
ndugu zangu mimi nipo Dodoma nina tatizo moja nasumbuliwa na vidonda vya tumbo nimekata tamaa kabisa, hivyo naomba mwenye maelezo anipe njia elekezi namna ya kupata tiba au nifanyeje angalau nipunguze maumivu haya .
karibu wik mbili sasa toka tuanze kuripot hapa chuon, kwa upande wa kinadada wote wa mwaka wa kwanza hasa college ya eduction,wameonesha heshima na nidham ya hali ya juu hasa ktk mavaz, kwahiyo naomben muendele hvyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.