Maoni yangu "kw kuwa kutoa ID (kitambulisho) ni bure !!! hapo sasa !! umuhimu wake unakuwa SUBIRI, SUBIRINI, Mtuvumilie, Samahani kwa USUMBUFU, Njooni weeki ijayo, MTANDAO HAMNA, UMEME UMEKATA, MUDA UMEISHA..!!! nk nk nk
Jamani bora mututoze ELFU 20000/- au gharama maalumu LAKINI kazi na...
hii ya mwisho mie siamini kbs !! kwani kuna wengi wanakufa mapema na wengi wa miaka 70 ndo kwanza wanaishi na kutupa historia za awali na uzoefu wa maisha..!!!
Kwanza HONGERA kwa vijana chipukizi kufika fainali na kutolewa kwa penalt!!! mengine ni mitazamo tu......
Kwani maisha ktk nyumba aliyopo MAMA wa kambo... maneno na kusengenyana hayatokwisha bhana... kawaida tusonge mbele!
Napendekeza na kutanabaisha wenye mamlaka ya kusimamia jiji wachukuwe hatua haraka!!
Wengi wetu,madereva na wenye kumiliki magari tupo hatarini sana.. haswa tunapokuwa ktk barabara na gari lako unakosa Amani na kuwa katika sintomakini maana tunakabiliana na yafuatayo:~
1. Omba omba na va vototo...
Mkuu Mazina, usiogopeshwe na maneno ya kike...!! kama mdogo wako dume aende akapambane na maisha.. Matatizo yaliyopo ni minor cases!! lakini elimu ipo na ilm ipo yani (Dini na Dunia) halafu kama anajiweza kuna kazi zakutosha katika ujenzi na ufundi !! Tatau currency yao ipo juu kuliko nchi za...
mashsallah tulijaaliwa kuwa na mbuzi mwenye neema (maziwa fresh asubuhi jioni, katulia, mwaminifu) Halafu ndugu siye hatuna uwezo wakubadilisha kiumbe !! vitumbua na maandazi tuna kula na wenzetu...mbuzi na majani na maji!! Ahsante Mwanba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.