Sahihi....wakati wa uhuru, tulibadili uongozi kutoka kwa weupe kwenda kwa weusi, lakini utaratibu wa kuongoza ukbaki vilevile. Kwakuwa system hii inaki favour CCM, wameikumbatia.
Hakuna kitu.....kwamba lugha pekee ni huo uchafu? Na hiyo nj lugha ya wapi? Mbona hakuna awezae kuielezea ili wale wa makabila mengine waelewe?
Na je watu wote hupqta kipaji cha roho mtakatifu cha kusali kwa lugha?
Uigizaji mwingi sana huko..wanachosha
Walk the Talk....Samia anataka kuhadaa watu, hana nia ya dhati kwenye lolote. mwongomwongo, mnafiki na mzandiki.
Sasa Kaonyeshwa kwamba kuna watu hawataki hiyo michezo yake yakutafuta kupiga picha za kuuza sura duniani kwa mabwana wanaompea hela.
Utajifungia mwenyewe? Wafanyabiashara ndio hao hao watunga sheria na wasimamizi wa sheria. Ndio haohao waliowaweka mfukoni, wafadhili wakubwa wa CCM. Usitegemee jema lolote kutoka kwa serikali inayoendeshwa kihuni kama Janjaweed.
Tatizo kubwa zaidi ni generation hii ya vinana wa hovyo wasioona...
Hawa vijana huwa akili wanapelekaga wapi wakishasoma hayo madegree na kupata makaratasi?
Stupid kabisa...anamuagiza nani sasa.
No Plan, No strategy, No manpower, no budget...nothing. unatoa tamko tu.
Umeonaeee...Anafanya kama jamaa yake. Sasa inaonekana kawaida marais kwenda kwao na kujifanya wanafanya kazi wakiwa ikulu ndogo ya eneo husika.
Hii haiondoi ukweli kwamba kaenda kufanyia kazi home. Ikulu kuu ambayo ndio nyumbani na ofisi kuu ya rais ipoipo tu.
How old are you? what is your IQ and SQ levels? and lastly How sane are you in a scale of 1 to 5.
Kuelezea jambo mwendawazimu, au mtoto anaejifunza BODMAS au completely dumb person ni upotevu wa muda tu
Wameunga wapi? mbona nipo hapa na sijasikia. Au kuunga mkono uwekezaji ndio kuunga mkono mkataba?
Tujifunze kutumia akili zaidi ya mihemko na nyege za Sisa uchwara
Aliitwa Mzalendo huyu Mruma na mwenzake Osoro. Magu alijua kuishi na vichwa maji.
Lissue akawaambia mtabutuliwa mahamani hamtaamini, fanyeni maubaliano sio kuvunja kijuha. Wakaona anawatukana, wakampiga risasi.
Sasa tunalipa wote, hadi yule mtoto anaetakiwa kupata huduma bora za afya anataabika...
Nikuunge mkono kwenye hili. Paschal amekuwannqntqbiq ya kuweka reservations kwa maslahi yake kwenye maandiko yake. Hataki kusema nyeusi ni nyeusi, atasema sio rangi hiyo bila kusema wazi sio nyeusi.
Tabia hii 8natufanya waTanganyika tuonekane watu wa jivyo na tusioweza lolote.
Ukweli haupingwi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.