Search results

  1. K

    Bosi wa Toyota ajiuzulu kupisha mabadiliko ya kampuni kuingia kwenye Magari ya Umeme

    Naona toyota wamenusa hatari na kujifunza kwa kile kilichowakumba Nokia kwa kuchelewa ku-adopt mapema teknolojia ya android. Wamefanya vizuri kuchukua hatua mapema ktk hili, vinginevyo wangekuja kupoteza umaarufu sokoni siku za usoni
  2. K

    Wenzetu mmewezaje kuvunja 'cycle' ya umasikini wa ukoo/familia?

    Watanipata wapi wakati naishi mbali wao [emoji1][emoji1][emoji1]
  3. K

    Watumiaji wa Unlimited Internet leteni mrejesho

    Sometimes hili husababishwa na kuwa unapewa GB kadhaa kwenye kifurushi chako na hizo GB zikiisha speed ina drop inakuwa ya chini sana japo utaendelea kupata Internet. Mara nyingi hairuhusu hata kudownload. Wao wakiwa wanakuuzia watakuambia ni unlimited ila kuna kiasi fulani cha GB ukishatumia...
  4. K

    Leo itakuwa mwisho kulipia bando, nimepata suluhisho la bure

    Shukrani mkuu, nimefanikiwa nakula free internet hapa
  5. K

    Algeria kuchagua Rais wa mpito

    Bunge la Algeria linatarajia kuchagua Rais wa mpito wa nchi hiyo, kufuatia kujiuzulu kwa Rais Abdelaziz Bouteflika akiwa na umri wa miaka 82. Bouteflika alifikia uamuzi wa kujiuzulu kufuatia shinikizo la Jeshi la Algeria pamoja na maandamano ya siku kadhaa yaliyofanywa na Raia wa nchi hiyo...
  6. K

    Kigoma kujenga vizuizi kuzuia magari kugonga treni

    Kigoma. Katika kudhibiti ajali katika maeneo ambayo barabara imepishana na reli, Serikali imesema itahakikisha inajenga vizuizi katika maeneo hayo ili magari yawe yanasimama wakati treni ikipita. Hayo yameelezwa leo Ijumaa Juni 8, 2018 na mkuu wa wilaya ya Kigoma, Samson Anga ikiwa zimepita...
  7. K

    NACTE yavifungia vyuo 20 kutokana na mapungufu mbalimbali

    Wawe na subira tuu. Mambo yakiiva nitawajuza
  8. K

    NACTE yavifungia vyuo 20 kutokana na mapungufu mbalimbali

    Nitawahiwa, vumilia tuu nitakuwekea orodha
  9. K

    NACTE yavifungia vyuo 20 kutokana na mapungufu mbalimbali

    Baraza la Taifa la Elimu na Ufundi ( NACTE ) limevifungia vyuo 20 kutokana na mapungufu mbalimbali. Kikubwa tuwe makini na vyuo vya uchochoroni maana sasa hivi ni rungu tuu. Orodha kamili ya vyuo, hii hapa;
  10. K

    Baba amuua mwanaye baada ya kugoma kwenda shule

    Jeshi la Polisi katika Wilaya ya Pader, nchini Uganda, linamshikiliwa Bwana Omony Odokonyero (30) kwa tuhuma za kusababisha kifo cha mwanae mwenye umri wa miaka saba kilichotokana na kuchapwa fimbo. Kwa mujibu wa gazeti la Daily Monitor limeripoti leo Juni 7 2018, katika kijiji cha Omakigira...
  11. K

    Waziri Mkuu Majaliwa: Suala la mshahara ni siri ya mtu. Siyo lazima litangazwe hadharani

    Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeweka wazi kuwa suala la kutangaza nyongeza za mishahara kwa watumishi wa umma hadharani husababisha athari kwa jamii nzima na kwa wale ambao siyo watumishi. Hayo yamesemwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakati akiwa bungeni kwenye kipindi cha...
  12. K

    Nusu fainali Sportpesa super cup: Kakamega Homeboyz 4-5 Simba SC, Gor Mahia 2 - 0 Singida

    Leo nusu fainal ya sportpesa super cup itaendelea huko Kenya. Simba itakipiga dhidi ya Kakamega homeboys ambayo iliwatoa yanga kwa kipigo cha 3-1. Simba inacheza nusu fainali baada ya kuigaragaza Kariobangi Sharks kwenye mikwaju ya penati 3-2. Mechi ya leo itachezwa majira ya saa 7 mchana...
  13. K

    Mtandao wa wanafunzi TSNP waiangukia Wizara ya elimu sakata la wanafunzi Bugando

    Soma: Viongozi wa Serikali na Wanachuo wa Chuo Kikuu Bugando wafukuzwa Chuo
  14. K

    Refa Mkenya aliyeteuliwa na FIFA kusimamia kombe la dunia 'anaswa' akipokea rushwa

    Takriban maafisa 100 wa kandanda katika eneo la Afrika Magharibi na Kenya walipatikana katika kamera wakipokea fedha katika operesheni kali. Ni miongoni mwa upelelezi wa miaka miwili uliofanywa na mwandishi wa Ghana mwenye utata Anas Aremeyaw Anas. Kipindi cha BBC Africa Eye kimepata kanda za...
  15. K

    Mwenyekiti wa Bunge Najma awaomba radhi wapinzani. Asema hakusikia neno 'mbwa' likitamkwa

    Dodoma. Mwenyekiti wa Bunge, Najma Giga amewaomba radhi wabunge wa upinzani kwa tafrani iliyoibuka juzi na kusababisha aondolewe kitini, akisema hakumsikia mbunge akitamka neno “mbwa”. Amesema kama angemsikia mbunge wa Jang’ombe (CCM), Ally Omary ‘King’ akitamka neno hilo, angechukua hatua...
  16. K

    Kilombero: Mwanamke ajifungua nje ya kituo cha Polisi baada ya kutolewa mahabusu

    Mwanamke mmoja Amina Rafael Mbunda (26) mkazi wa Kiswanya,kijiji cha Mgudeni,kata ya mwaya,Tarafa ya Mang'ula wilayani kilombero mkoani Morogoro,anadaiwa kujifungua nje ya kituo cha polisi baada ya kutolewa mahabusu alikokuwa akishikiliwa kwa tuhuma zilizomhusu mumewe aliyedaiwa kuhusika na...
  17. K

    KISUTU, DAR: Wakurugenzi wa Zantel na Halotel wapandishwa kizimbani kwa uhujumu uchumi

    Wakurugenzi wa Makampuni ya simu ya Zantel na Halotel wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Kisutu kwa makosa ya uhujumu uchumi. Mtendaji mkuu wa Zantel raia wa Misri na Mtendaji mkuu wa Halotel raia wa Vietnam ni miongoni mwa waendeshaji saba wa mitandao ya simu za mkononi waliofikishwa...
  18. K

    Familia ya Ndesamburo yakabidhi milioni 3 ya rambirambi kwa wanafunzi wa Lucky Vincent

    Arusha. Familia ya aliyekuwa mbunge wa jimbo la Moshi Mjini marehemu, Phillemon Ndesamburo imekabidhi Sh3 milioni leo, ahadi ya rambirambi iliyotolewa na marehemu Ndesamburo kabla ya kufariki dunia. Ndesamburo kabla ya kuaga dunia Mei 31 mwaka jana aliahidi kutoa rambirambi kwa ajili ya...
Back
Top Bottom