Naona toyota wamenusa hatari na kujifunza kwa kile kilichowakumba Nokia kwa kuchelewa ku-adopt mapema teknolojia ya android.
Wamefanya vizuri kuchukua hatua mapema ktk hili, vinginevyo wangekuja kupoteza umaarufu sokoni siku za usoni
Sometimes hili husababishwa na kuwa unapewa GB kadhaa kwenye kifurushi chako na hizo GB zikiisha speed ina drop inakuwa ya chini sana japo utaendelea kupata Internet.
Mara nyingi hairuhusu hata kudownload.
Wao wakiwa wanakuuzia watakuambia ni unlimited ila kuna kiasi fulani cha GB ukishatumia...
Bunge la Algeria linatarajia kuchagua Rais wa mpito wa nchi hiyo, kufuatia kujiuzulu kwa Rais Abdelaziz Bouteflika akiwa na umri wa miaka 82.
Bouteflika alifikia uamuzi wa kujiuzulu kufuatia shinikizo la Jeshi la Algeria pamoja na maandamano ya siku kadhaa yaliyofanywa na Raia wa nchi hiyo...
Kigoma. Katika kudhibiti ajali katika maeneo ambayo barabara imepishana na reli, Serikali imesema itahakikisha inajenga vizuizi katika maeneo hayo ili magari yawe yanasimama wakati treni ikipita.
Hayo yameelezwa leo Ijumaa Juni 8, 2018 na mkuu wa wilaya ya Kigoma, Samson Anga ikiwa zimepita...
Baraza la Taifa la Elimu na Ufundi ( NACTE ) limevifungia vyuo 20 kutokana na mapungufu mbalimbali.
Kikubwa tuwe makini na vyuo vya uchochoroni maana sasa hivi ni rungu tuu. Orodha kamili ya vyuo, hii hapa;
Jeshi la Polisi katika Wilaya ya Pader, nchini Uganda, linamshikiliwa Bwana Omony Odokonyero (30) kwa tuhuma za kusababisha kifo cha mwanae mwenye umri wa miaka saba kilichotokana na kuchapwa fimbo.
Kwa mujibu wa gazeti la Daily Monitor limeripoti leo Juni 7 2018, katika kijiji cha Omakigira...
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeweka wazi kuwa suala la kutangaza nyongeza za mishahara kwa watumishi wa umma hadharani husababisha athari kwa jamii nzima na kwa wale ambao siyo watumishi.
Hayo yamesemwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakati akiwa bungeni kwenye kipindi cha...
Leo nusu fainal ya sportpesa super cup itaendelea huko Kenya. Simba itakipiga dhidi ya Kakamega homeboys ambayo iliwatoa yanga kwa kipigo cha 3-1. Simba inacheza nusu fainali baada ya kuigaragaza Kariobangi Sharks kwenye mikwaju ya penati 3-2. Mechi ya leo itachezwa majira ya saa 7 mchana...
Takriban maafisa 100 wa kandanda katika eneo la Afrika Magharibi na Kenya walipatikana katika kamera wakipokea fedha katika operesheni kali.
Ni miongoni mwa upelelezi wa miaka miwili uliofanywa na mwandishi wa Ghana mwenye utata Anas Aremeyaw Anas. Kipindi cha BBC Africa Eye kimepata kanda za...
Dodoma. Mwenyekiti wa Bunge, Najma Giga amewaomba radhi wabunge wa upinzani kwa tafrani iliyoibuka juzi na kusababisha aondolewe kitini, akisema hakumsikia mbunge akitamka neno “mbwa”.
Amesema kama angemsikia mbunge wa Jang’ombe (CCM), Ally Omary ‘King’ akitamka neno hilo, angechukua hatua...
Mwanamke mmoja Amina Rafael Mbunda (26) mkazi wa Kiswanya,kijiji cha Mgudeni,kata ya mwaya,Tarafa ya Mang'ula wilayani kilombero mkoani Morogoro,anadaiwa kujifungua nje ya kituo cha polisi baada ya kutolewa mahabusu alikokuwa akishikiliwa kwa tuhuma zilizomhusu mumewe aliyedaiwa kuhusika na...
Wakurugenzi wa Makampuni ya simu ya Zantel na Halotel wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Kisutu kwa makosa ya uhujumu uchumi.
Mtendaji mkuu wa Zantel raia wa Misri na Mtendaji mkuu wa Halotel raia wa Vietnam ni miongoni mwa waendeshaji saba wa mitandao ya simu za mkononi waliofikishwa...
Arusha. Familia ya aliyekuwa mbunge wa jimbo la Moshi Mjini marehemu, Phillemon Ndesamburo imekabidhi Sh3 milioni leo, ahadi ya rambirambi iliyotolewa na marehemu Ndesamburo kabla ya kufariki dunia.
Ndesamburo kabla ya kuaga dunia Mei 31 mwaka jana aliahidi kutoa rambirambi kwa ajili ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.