It is fortunate that foreigners are dominating the forum.
Wanajiita Nzagambadume wakati ni Wahutu na Watutsi wanaojifanya watanzania.
Wakapigane kwao si hapa.
When someone dreams turned to be reflected as reality, whoever believe in it is a lazy in thinking.
The curtain is known by someone who put in the first place, others may just speculate.
Naona siku hizi wahutu na watutsi wanapigania nchi yetu. Inaonekana wanaoandika haya yote ndo hao-hao.
Can they try to form their own forum to discuss their stupid arguments?!!
Naona shughuli unayofanya haimtosherezi ndiyo maana anapata hata nguvu ya kwenda kwa mtu mwingine. Hii lawama naiweka kwako maana anachofuata huko hakipati kwako!
Sent from my SM-N900 using JamiiForums mobile app
Hii ni hatari sana. Inabidi EAC na wengine tuangalie jinsi ya kusaidia jinsi ya kuleta amani kwenye eneo letu.
Inasikitisha kuona ka kikundi ka watu wanatishia maisha yetu sote.
Kwa kawaida, serikali inawajibika kwa wananchi ikiwa ni pamoja na vyama vyote vya upinzani na civil society organisations ILA chama cha siasa ambacho hakipo madarakani hakiwajibiki kwa serikali bali wanachama wake pekee. Sijasikia wanachama wa CDM wakiuliza ya Slaa ambaye aliuliza akiwa ametoka...
Kuna maswali mengi kuliko majibu!
Matatizo au kero zinazoelezwa na Mhe. Magufuli zinatatanisha sana. Hivi Tanzania ina serikali? Kama serikali ipo, inaongozwa na chama gani?
Kero anazoongea kama chama chake kimeshindwa kuzitatua kwa miaka kadhaa, je yeye ataweza kwa miaka 5 au 10?
Itakuwa...
Kazi ipo.
Kujieleza kwa sasa ni kugumu sana ambapo watu wameamka na wanaweza kuchambua ili kutofautisha maneno na vitendo.
CCM inabidi ifanye kazi kwa sana ili watu warudishe imani.
Subiri matokeo ya CC leo na vikao vijavyo.
1. Ukitaka kudanganya, uhakikishe unafika mbali.
2. Watu si mabwege.
3. Karamagi ana bandari tayari chini ya TICTS
4. Watanzania wanajua haki yao hata JK na CCM wanajua hilo
5. Acheni kampeni za kipuuzi.
Anjo
Gambamala,
Sijui unachotaka kutueleza!
Hivi wewe ni mtanzania unayefuatilia siasa za nchi yako au unamuandalia njia mgombea unayempendelea?
Wakati niliamini kuwa 2008 Lowassa alichukua rushwa, baadae mambo yalibadilika kwa kauli iliyotolea kwenye mkutano wa NEC miaka michache baadae. Naomba kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.