Monica Lewinsky (ironically) freaked out that Bill cheated on her
By Daniel Halper New York Post June 18, 2016
President Bill Clinton had an affair with former Vice President Walter Mondale’s daughter — while multitasking with at least two mistresses in the White House — according to a...
Mkuu swali lako lina makosa mengi sana. Lakini ni swali zuri. Aulizae si mjinga.
Kwanza turekebishe some facts in your question. MArekani ilipata uhuru mwaka 1776. Imeshakuwa huru zaidi ya miaka 200.
Ukitaka kujua ilikuwaje Marekani ikatawala dunia, itatawala miaka mingapi na ityaanguka lini...
Panama Papers: Who’s Implicated from Africa?
By Conor Gaffey On 4/4/16 at 2:27 PM
Panama Papers Leak
The massive leak of confidential documents described as the Panama Papers has got a lot of politicians and world leaders hot under the collar. Here, Newsweek considers five of the African...
Kuanzia 2016 kingwangwala atasahaulika kabisa kabisa Tanzania kama Mzee Kihiyo. Yani atakuja kuwa mzoga. I hate his cheap lame damn politics. zinapotezea watu muda for nothing
Yahoo News
LOS ANGELES (Reuters) -
Hip hop mogul Marion "Suge" Knight, who was shot and wounded at a Los Angeles nightclub over the weekend, was resting at a local hospital but had "lost a lot of blood," his family said on Monday.
Knight, 49, was struck by bullets early on Sunday...
Mwandishi anasema sikuhizi divorce rate imeongezeka sana almost nusu ya ndo zote zinafungwahuvunjika) na pia almosy asilimia 50 ya watu walioko kwenye ndo walifanyiwautafiti wakakiri kuwa wamewahi kucheat (physically or emotionally). Kwaiyomwandishi anauliza je hatuoni kuwa wakati umefika wa...
Kama mwendelezo wa siasa za maji taka. Ndugu JK na Membe wamemrudisha Joseph Sokoine nyumbani kutoka alikokuwa ofisa ubalozi Canada ili aje kugombea na hatimae kuchukua ubunge wa Lowassa.
Hii ni kama ilivyoainishwa na mwana JF mmoja - JK Na Edo Walipokuwa wamoja katika umoja wao wa kidhalimu...
Pesa za EPA aliezitoa na kwapa waizi ni Mzee Peter Noni wakati huo yuko BOT. Issue ilipobumbuluka Rais akawaita wale walioiba akawaomba warudishe - na sharti ni kuwa wampelekee peter Noni sasa akiwa mkurugenzi wa TIB. Hivyo zilipelekwa TIB huko nadhani Noni alifanya utaratibu mwengine wa wakuu...
Wakuu
kama kuna anaejua bei ya kodi ya zile apartments za Pale nyuma ya jengo a umoja wa vijana wa CCM naomba atujuze. Kama kuna any other additional usefull informations about zile apartments naomba please
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.