nilishasema ni bora kuumpa mtoto simba alieshiba kuliko kumpa chui mwenye njaa hapo kwa ccm bora lowassa ata mh pres aliingia wakijifanya msafi bt ndo ameenda kusanya chake
unaongelea N korea kama mambulula tanzania hawa jamaa technologia ya war weapon ipo juu sio mchezo ata wamarekan wanalijua hilo na wanawahofia kwani wana makombora ya masafa marefu ambayo yanaweza kuidhuru ardhi ya marekan ndo sababu kubwa wanaweka base pale s korea kwa usalama wao na kupaata...
hiyo inajulikana kama vericocele inasababishwa na kuarbika kwa vena zinazopeleka damu kwenye pumbu na hakika alifanyiwa upasuaji stage 3 na doct alikua sahihi kwa sababu bado alihtaji kuzaa na maumivu yaku hayaishi labda ufanywe catheta radio therep kufunga kabsa huo mshpa wa damu usipeleke damu...
Quiz (5 marks)
1. Define escrow, and clearly differentiate and compare it with EPA.
2. Basing on your experience as Tanzanian, do you think they will bring back our money?
3. Critically and with logical arguments examine the relationship between Escrow scandal and tezi treatment.
4...
Quiz (5 marks)
1. Define escrow, and clearly differentiate and compare it with EPA.
2. Basing on your experience as Tanzanian, do you think they will bring back our money?
3. Critically and with logical arguments examine the relationship between Escrow scandal and tezi treatment.
4...
Mke wangu ana ujauzito,ameenda hospitali amepimwa kama ilvyoada,amepewa majibu yote,isipokua ya vvu,ameambiwa paka mimi niwepo.je ni sawa yeye kunyimwa majibu paka mimi ni wepo?mimi npo mbali kdogo namuuguza mama,hvyo cjapata mda wa kuambatana nae.
We mjinga 2 kama ni mchaga na anaongoza wachaga kuna mbya gan?udin kitu gan wewe.mbna halmashauri ya bagamoyo,masasi,tandahimba wote n waislam we vp bhana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.