Sitta amedai kuwa baadhi ya viongozi wa ukawa wamesema wamtampeleka mahakama ya kimataifa,
Akizungumza leo hii baada ya utambulisho wa wageni bungeni akawafananisha viongozi wa ukawa na waigizaji wazuri maana yake hawafanyi kweli isipokuwa ni danganya toto.
Source bunge la leo asubuhi kupitia TBC
Almost wote wapo sahihi sasa kilichobaki ni kuangalia kama fursa hizo je zipo katika mazingira yako na je ni profitable kwa kiasi gani maana yake fanya feasibility study kwanza.Nakutakia tafakari njema
Ni ukweli usiopingika, hatahivyo binafsi nishughuli mojawapo ninazo fanya. Lakini shida watu wengi hawajalitambua hili, na maana ya kuleta uzi huu nikwamba tuelimishane kwa kina, kama ni kilimo basi tuzungumzie kiundani. kama ni biashara nk.
Heshima na tahadhima natanguliza kwenu wadau, JF, ni sehemu iliyo saidia sana kukuza akili ya kiuchumi.
Sasa ninawaomba watanzania wenzangu, tujadili kwa kina suala la NAMNA YA KUJIAJIRI NA KUTENGENEZA AJIRA. Kama nyenzo mojawapo ya kupambana na tatizo la ajira nchini, maana hali kama ya...
Mr.DZUDZUKU, mi nakataa kabisa, licha ya kuchemka Mungano, bado hakutumia hekima katika sekta yake, ebu kumbuka majibu yake kwa wale vijana waliokosa mikopo 2013. Ingawa anaye kuja simfahamu vizu, pengine ataweza kido, hasa ajitahidi kusema na kujibu kwa hekima, Mh.Mlugo tumemfahamu kwa kusema...
duuh! haya kaka, ivi umewahi kujiuliza wapi zinatoka nje ya kisababishi(imani)? nani ameumba? kwanini? na kwa nini zinatofautiana? unajueje kwamba kila mmoja ananguvu hizo? kwanini wewe ni tofauti na wengine? je unaweza kutumia nguvu hiyo kuzuia kifo, nakama ndio nipe mifano ya watu ambao...
Ndugu watanzania, jitahidi kugawa elimu yako ktk sehemu kuu tatu;
(i) kazi za mikono; eneo hili ni vizuri mno, ukafanya kwa kutumia elimu uliopata darasani na si nadharia tu, hapa inamaana hivi, uweke elimu katika vitendo.kumbuka kazi za mikono nikipimo cha utu.kufanya kazi kutakutofautisha na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.